GadoTz
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 370
- 636
Kwa wasiomfahamu Marombosso ni kijana hapo kwenye video, ambae alikuwa miongoni mwa wanaounda Yamoto band.
Kwa sasa ametoka kupitia WCB.
Wakati yupo Yamoto walikuwa wanachuana vikali na Aslay na inasemekana ni moja ya sababu kundi kuvunjika ni hivi vipaji viwili.
Kwa kutazama muono wa mbali tutarajie mchuano mkali ambao siwezi kuuita bifu bali ni mchuano wa vipaji toka kwa aslay na mbosso.
Nini kitatokea baada ya mchuano huo kuanza rasmi? Tuvute subira.