Kesi imeisha DPP kaingia mitini!
Mbowe ni mstaarabu tu..katumia maneno ya kistaarabu tu. Huyo mama alivyomfata Lissu ubeligiji alimwita?
Boss sikuizi maisha ni rahisi, kitu chochote kama uelewi , lugha yoyote basi ukiweka kwenye google basi unapata jibuMukuu hebu iweke kwa lugha rahisi tuelewe sisi layman
Siyo kweli! Kama ulifuatilia hiyo kesi kulikuwa na ushahidi gani wa Jaji kuamua kuwa wana kesi ya kujibu? Jaji amejiabisha sana na kuaibisha Judiciary. Huhitaji kuwa mwanasheria kufahamu kesi ya Mbowe ilikuwa ni kutaka kumkomoa tuMahakama na magereza hizi issues huwa tunawasingizia tu shida iko kwetu uraiani huku tungekuwa na hofu ya Mungu .
haya yote yasingekuwepo kwa sababu sisi kwa sisi ndiyo tunasingiziana makosa na kupelekana huko sasa mpaka mahakama ije ijuwe huna kosa umesota sana na pengine mahakama ishindwe kujuwa kuwa huna kosakutokana na mshitaki alivyojipanga kukushitaki
mahakimu siyo malaika waweze kujua moja kwa moja kuwa huyu hana kosa wao wanacheza na sheria tu
HujielewiPamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia hadi chooni.
πππMungu wa mbinguni awabariki nyote.
Leo kuna Ibada ya Njia Ya Msalaba aliyopitia Bwana wetu Yesu Kristo kuelekea kwenye ukombozi wa Wana wa Mungu.
Ni imani yangu Simon wa Kirene atatuongoza!
Updates;
Nawatakia Chadema wote Ibada njema ya Njia ya Msalaba.
Mungu ni MWEMA wakati wote.
Jumaa kareem.
The End.
Njia ya Msalaba???,,........ wa yule kijana zeruzeru wa kizungu au msalaba gani weye unasema???? mbona mnatuchezea akili nyie watu!!Leo kuna Ibada ya Njia Ya Msalaba aliyopitia Bwana wetu Yesu Kristo kuelekea kwenye ukombozi wa Wana wa Mungu.