Hivi unajua walioalikwa ni wakina nani?
Hivi unajua ni viongozi wa nchi ngapi ambao wamealikwa ambao wako madarakani?
Acha kuandika kwa hisia fanya utafiti utajua waalikwa ni watu wa kaliba gani na sio kupotosha hapa.
MK,
Kama unajua walioalikwa andika hapa na ndio maana tuna JF ili kuweka data zote waziwazi.
Usitegemee rais wa nchi akae kwenye huo mkutano siku nne. Anaweza kuwepo muda mfupi, sana sana siku hiyo ya Obama kutangazwa lakini sio vinginevyo. Pia kama ameshiriki mkutano wa Democratic, what about mkutano wa Republican? Ni marais wachache sana ambao watakuwa na muda wa kuzunguka kwenye hizo conventions. Rais anayejua siasa hachagui upande maana huwezi kujua nani atakuwa rais November.
Wengine tuna miaka mingi sana kwenye kufuatilia hizo conventions kwahiyo nina uhakika na ninachosema.
Hata Odinga aliyealikwa ameamua kutokwenda. Kama unajua politics utaelewa ni kwanini. Huyo ni Mjaluo mwenzake Obama na bado kaamua kutoenda. Jiulize why?
Kwa taarifa zaidi soma hapa chini juu ya watu gani wanaalikwa kwenye hizo conventions na lengo ni nini. Hicho ndio kitu nilikuwa naongelea.
Londoner invited to Democratic convention
Mon, August 25, 2008
By CHIP MARTIN
There's a touch of London, Ont., in the house as the U.S. Democratic party gathers in Denver, Col., to formally elect Barack Obama as its presidential candidate.
Doug Ferguson, the London lawyer who is president of the Liberal Party of Canada, is an invited guest for the event in the Mile High City.
It's his first such foray and, he said, he might just pick up a few tips.
The Democrats have invited what they consider members of like-minded political parties elsewhere to join them at the historic event that opens today and runs until Thursday.
"The Democrats have this International Leaders' Forum where they invite political parties from around the world with similar political philosophies to come out," Ferguson said. "They have workshops and they will put us on the floor at times. It will be very exciting."