Mbowe abuni ulaji mpya!

Mbowe abuni ulaji mpya!

Ghosryder

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
10,403
Reaction score
4,373
Amedai kwamba ataanzisha oparesheni tanzania nzima ya kupinga rasimu ya katiba mpya itakayopitishwa na bunge la katiba bila ya kuwemo ile rasimu ya serikali 3.Amesema wao ni sehemu ya ukawa hivyo atatumia chochote awezacho kupata kufanya oparesheni hiyo nchi nzima! My take: Haya haya misukule, muda wa michango imewadia watu wapige dili kazi kwenu.
 
Amedai kwamba ataanzisha oparesheni tanzania nzima ya kupinga rasimu ya katiba mpya itakayopitishwa na bunge la katiba bila ya kuwemo ile rasimu ya serikali 3.Amesema wao ni sehemu ya ukawa hivyo atatumia chochote awezacho kupata kufanya oparesheni hiyo nchi nzima! My take: Haya haya misukule, muda wa michango imewadia watu wapige dili kazi kwenu.
Lini serikali ya ccm itatoa misamaha ya cement mchele sukari kwa wahindi ili walipe deni la kapten komba crdb?hapa tutarajie Manji kupewa tenda kubwa serikalini kufidia pesa zake
 
Omba wakurudishe darasani ukafunzwe vizuri sintaksia na sarufi mkuu,ni ajabu sana uandishi wako hauzingatii vituo,kunukuu,pia kuonyesha hoja yako iko wapi,amaa kweli wasiosoma ni chakula cha wasomi naona umetafunwa sana na bado unazidi kuwashangilia kwa kuvimba mishipa ya shingo kwa hoja nyepesi.Endelea kuwa mtumwa wa fikra
 
Back
Top Bottom