Pre GE2025 Mbowe achunguzwe kushindwa kwa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe mjinga kweli. Umelala na mke wako halafu unamsubiria Mbowe akupiganie. Ukiambiwa uingie mtaani ualnajificha ndani. Very stupid
 
Eti hasara!! Yupo CHADEMA kufanya biashara? CHAWA wa kibongo mna tope vichwani
 
Wewe mjinga kweli. Umelala na mke wako halafu unamsubiria Mbowe akupiganie. Ukiambiwa uingie mtaani ualnajificha ndani. Very stupid
Mbowe anakula pesa ya Umma lazima awajibike na siyo hiari. Hataki aondoke
 
Umesema yote. Ukweli mchungu
Mkuu hawajalogwa ni ule usemi ‘siasa ni mchezo mchafu’
Hakuna opposition ni stori tu watu wanajineemesha..
Jiulize kwa nini msaidizi ametulia.. yupo standalone ameona bora liende
Unaweza kujiheshimisha zaidi ya hiki ulichoandika hapa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…