Mbowe Aendelee Kung'ang'aniwa Agombee Uenyekiti.BAWACHA Kumchangia Pesa Yote ya Kuchukulia Fomu.

Mbowe Aendelee Kung'ang'aniwa Agombee Uenyekiti.BAWACHA Kumchangia Pesa Yote ya Kuchukulia Fomu.

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Mbowe Mwamba Mwenyewe na jabali la siasa za Upinzani katika ukanda huu wa Afrika mashariki aliyejitoa kwa jasho na Damu kuijenga na kuiimarisha CHADEMA mpaka ilipofikia leo hii Ameendelea kung'ang'aniwa na wana CHADEMA ili aweze kugombea nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Ambapo Baraza hilo la Wanawake limesema ya kuwa linamchangia Mwamba Mbowe pesa ya kuchukulia Fomu kiasi cha Milioni moja na laki Tano. Ikumbukwe ya kuwa wana CHADEMA mbalimbali wameonyesha nia ya kutaka kumchangia pesa ya kuchukulia Fomu.

Hii ni kwa kutambua kazi kubwa ya kihistoria aliyoifanya katika kuujenga upinzani hapa Nchini kwa jasho na Damu na kwa kutumia raslimali zake binafsi ili kukisimamisha chama na kukipa nguvu ya kuweza kuwafikia watanzania na kueneza sera zake.

Mwamba Mwenyewe Mbowe anaendelea kugusa mioyo ya watu wengi sana ndani na nje ya chama chake ambao wanamtakia kila la heri na ushindi katika uchaguzi huo ambao umeonyesha wengi kuwa na imani naye na kuhitaji utumishi wake kwa kipindi kingine cha miaka mitano.

Mwamba bado hajachukua Fomu ya kugombea lakini tayari ameshinda kwenye mioyo ya wana CHADEMA ambao wengi na kutoka kanda zote za kichama wameonyesha utayari wa kumuunga mkono hadharani kabisa bila wasiwasi wala hofu.
Screenshot_20241218-161938_2.jpg
Screenshot_20241218-161938_2.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 

Attachments

  • Screenshot_20241218-161938_2.jpg
    Screenshot_20241218-161938_2.jpg
    250.7 KB · Views: 4
Moderator naomba hapo penye neno Aendelee. pabadilishwe na kusomeka Aendelea.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mheshimiwa Mbowe Mwamba Mwenyewe na jabali la siasa za Upinzani katika ukanda huu wa Afrika mashariki aliyejitoa kwa jasho na Damu kuijenga na kuiimarisha CHADEMA mpaka ilipofikia leo hii Ameendelea kung'ang'aniwa na wana CHADEMA ili aweze kugombea nafasi ya uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Ambapo Baraza hilo la Wanawake limesema ya kuwa linamchangia Mwamba Mbowe pesa ya kuchukulia Fomu kiasi cha Milioni moja na laki Tano. Ikumbukwe ya kuwa wana CHADEMA mbalimbali wameonyesha nia ya kutaka kumchangia pesa ya kuchukulia Fomu.

Hii ni kwa kutambua kazi kubwa ya kihistoria aliyoifanya katika kuujenga upinzani hapa Nchini kwa jasho na Damu na kwa kutumia raslimali zake binafsi ili kukisimamisha chama na kukipa nguvu ya kuweza kuwafikia watanzania na kueneza sera zake.

Mwamba Mwenyewe Mbowe anaendelea kugusa mioyo ya watu wengi sana ndani na nje ya chama chake ambao wanamtakia kila la heri na ushindi katika uchaguzi huo ambao umeonyesha wengi kuwa na imani naye na kuhitaji utumishi wake kwa kipindi kingine cha miaka mitano.

Mwamba bado hajachukua Fomu ya kugombea lakini tayari ameshinda kwenye mioyo ya wana CHADEMA ambao wengi na kutoka kanda zote za kichama wameonyesha utayari wa kumuunga mkono hadharani kabisa bila wasiwasi wala hofu.View attachment 3179590View attachment 3179590

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Leo nimeamini Mbowe ni CCM mwenzetu,

Hongera cde Lucas,

Mama mitano tena
 
Nia ya Lissu kugombea nafasi ya uenyekiti CHADEMA imefichua mawinga wote wa kisiasa.
 
Huyu ana lake jambo,hivi ndivyo Putin alivyosema anamkubali mgombea mmoja wa uchaguzi wa urais Marekani.Yaliyotokea ni anguko la aliyemkubali.Siasa hii eti Lucasi naye kaiga
 
Back
Top Bottom