Njia pekee ya kuzuia machafuko nchini ni CCM kukubali sauti ya umma.
Kama ni kupigana ni vizuri tukajua kuwa waathirika ni wananchi wote kwa ujumla, na hasa wasio na uwezo wa kukimbia nchi.
TUKIAMUA KUPIGANA HAKUNA ATAKAYEPONA, SIO CCM WALA CHADEMA WALA NCCR WALA CUF WALA YEYOTE YULE.
CCM wajue kuwa Kuna watu wako mtaani tu lakini wana ujuzi wa kijeshi walioupata kwa njia wanazojua wao kwa hobby tu,... tutakapopigana pigana ovyo tutajikuta tunazaa majeshi yasiyo rasmi mitaani ambayo yakipuliziwa bangi mbili tatu Shimbo atakuwa wa kwanza kutolewa kichwa.
TUKIWASHA MOTO WA CIVIL WAR.......BASI YATAKAYOJIRI YACHUNGULIE SOMALIA...... Rwanda na Burundi zimetulia kwa msaada mkubwa sana wa Tanzania. Tanzania ikifyatuka je ni nani ataidaka???
CCM acheni umalaya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hicho ndicho ccm wanachokitaka ili waendelee kuwepo madarakani lakini safari hii wakiwa na seria ya kuwashughulikia wapiganaji wa msituni. Mnaijua ccm au hamuijui. wapo radhi watu wafe ili wapate uhalali wa kuendelea kutawala.
Mbowe alitaka kumwaga damu watu? huyu jamaa ni mtu hatari sana hasa kwenye maswala ya maslahi yake anaweza mtoa uhai wa mtu...
Huyu hawezi pata ubunge hai, anakubalika kwao tu Machame pekee ndiko anakokubalika,swala la ubunge kwa kipindi hiki asahau kwa kweli ..
Wewe MPUUZI usidandie assumptions zetu ukidhani ndio msimamo. Bali unategemea nini unapoondoa kifuniko cha grenade? utalilaumu bomu kwa kulipuka au utajilaumu kwa kulipua bomu?
You know what? you are another scam and crap like the rest. I mean JK na CCM yake
Sasa wewe unataka waonewe mpaka lini? Yaani kupigwa wapigwe ila wasireact coz wakireact watatia doa. This attitude ndo imetufikisha hapa tulipo. People wanatupandia kichwani tuwaanagalie tuuuu. This is our country you know, we have the rights you know. Stop whining and act.
kama ndivyo basi tuamini kwamba polisi hawajaiva na lile jando la uchaguzi 2005. Na akina SHIMBO wanajua kinachoendela lakini wanasubiri wapinzani wareact ndipo waanze kuwashughulikia. hawajui kwamba arushaye risasi ya kwanza ndiye hugeuza historia.
Hivi mtu akimkamata Mkeo na kuanza "Kumuwowa" mbele yako. Anakuja mwanao anachukua kibano kutoka kwa rafiki zake. Wee Mwanamume mzima na msuli kama wa Sokwe Mtu na Bastola yako kiunoni, utaanza kutumia busara za kwenda kituo cha Polisi kwenda kuriport?
Sijui hadi ukija kurudi na POLISI hao, Mkeo na Binti yako watakuwa "wamewolewa" mara ngapi.
Eti hii ndiyo busara aliyotakiwa MBOWE aifuate.
Ningelijuwa wake zenu, ningelikuja niwawowe mbele yenu na nione mnavyoenda POLISI kuriport.
Waongo wakubwa nyie, mngeniweka kabali ya mbao hadi nikachafua kufuli.
Minafiki mikubwa nyie. Anakushinda hata huyu hapa chini, loooohhh...
hahaha haha mambo ya Mke bana we acha tu. lakini hebu njoo ujaribu kwa mke wangu uone jinsi ambavyo utakavyo zaa baada ya miezi tisa ya kulea mimba tumboni kwako. na utanizalia mtoto wa kiume hahahaah.
Ni kweli kwamba CCM wameanzisha vurugu. wanaanzisha chaos ili wapate uhalali wa kuvuruga uchaguzi hata kuhairisha. tutumie busara zetu tunapodeal na WAPUUZI kama hawa CCM. Kwa nini tusiwashtaki kwenye umoja wa mataifa kuwa wanahatarisha maisha ya WATANZANIA kwa kumiliki jeshi na kuendesha matendo ya kigaidi dhidi ya RAIA? tuwashinde kwa hoja hata kama wakileta vioja. Gharama ya demokrasia ni kuvumilia na kuamini kwamba tutafika. ila tukiingia kwenye mtego wa kuchokozwa na kureact basi mjue sisi hatutakuwa tofauti na wao.
mambo ya siasa yana tofauti kubwa na mambo ya kifamilia. njoo umuwowe mke wangu uone utakavyopata VIP treatment. siendi polisi ingawa watanibembeleza niwauzie kesi lakini nitakupachika mimba walah.
Mimi nafikiri angemuwasha mmoja la makalioni ingefaa sana ili liwe fundisho kwa watu kama nyie mnaojifanya hamuelewi somo. Big up Mbowe next time usielekeze juu elekeze usawa wa mbuzi tuone kama Green guard watarudi, dawa ya moto ni moto.
Wao wanakuja kuchokoza kwa makusudi halafu watu humu wanatoa mapovu eti Mbowe kakosea, kwani bastora tunapewa za nini mapambo, kazi ya bastora ni pamoja na hiyo kutuliza ghasia na kujilinda na majangili kama hayo.
hahahahaha hahaha. alifanya busara kupiga hewani. naamini anamiliki kihalali. Nakubaliana nanyi kwamba alifanya jambo sahihi kwa wakati ule mahala pale, lakini mimi nikiangalia mbali zaidi ni kwamba hata hao wanaccm tunawahitaji sana wawepo hai wakiona na kushiriki kuijenga nchi kwa sera na ilani za CHADEMA. Ila twende mbali zaidi kwa kuwashinikiza vyombo vya usalama vifanye kazi zao bila kujali sura wala makalio ya mtu.
Mbowe anaelewa siasa za hai, kwenye mkutano wake naamini polisi walikuwepo, na nina amini polisi waliarifiwa kuhusu tukio lile. Unafikiri angekuwa mwanaye, mkewe, au ndugu yake angeendelea na mkutano? Kitendo alichofanya Mbowe kwenda kuokoa mwanachama, mwananchi, na mfanyakazi wake ni cha kishujaa na cha kuenziwa kwani uhai wa mtu ni muhimu sana kuliko siasa. Tumeshuhudia CCM wakiteka watu na kuwauwa huko tarime, tumeshuhudia CCM ikakaa kimya kama haiwahusu. Sasa kwa kamanda Mbowe kwenda kuokoa maisha naona ni uungwana wa hali ya juu. Hai ni jimbo lenye miundombinu mizuri sielewi kwanini polisi walishindwa kuwatuliza hao green guard.
Muhimu ni kuwaeleza CCM siasa sio ugomvi, kwa nini watumie nguvu kushinda na kumwaga damu. Kwa nini Kikwete hatoi kauli kali dhidi ya CCM wenzake wanaotuhumiwa nakukamatwa kila siku wakiuuwa watu? Chama cha siasa kinachouwa hakifai kuongoza dola.
Kama polisi walikuwepo na kuwa walishindwa kudhibiti chanzo cha vurugu na wakashindwa kwenda kumtoa aliyetekwa na ccm, basi ni clear picture kwamba maafisa wa polisi ni WARATIBU wa hizi chokochoko zinazofanywa na ccm. Amini nakwambia.
UwT ndio pekee watakaotenda haki hapo maana jamaa wale wanajua kazi yao kisaikolojia na kiuwezo. Ila wanapaswa kuwa huru kisheria zaidi maana nadhani they are watching what is going on but wamepigwa stop na sheria kuingia ndani zaidi kushughulikia kivitendo matendo yanayohatarisha usalama wa nchi. CCM wajanja sana maana walipogundua kuwa TISS wanaweza kuwa ni kikwazo cha wao kutawala milele wakaamua kuwatungia marekebisho ya sheria inayowabana zaidi. Tupige kelele kuwa TISS iwe huru na isijiafiliate na sera za vyama wala vyama bali maslahi ya nchi zaidi na wapewe meno ya kuvunja mifupa.
Nadhani CCM wanataka kuiangamiza nchi na wapo tayari kwa hilo kwani wana mapandikizi yao kwenye mfumo mzima wa nchi na wapo radhi kumwaga damu kutengeneza uhalali wa propaganda zao.