Mbowe ajitenge na watuhumiwa wenzake

Mbowe ajitenge na watuhumiwa wenzake

Katika ufuatiliaji mdogo wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, nimeona mapungufu makubwa ambayo niliwahi kuelezea humu ndani. Wengine walisema sijui kitu na kwamba ile ilikuwa tu kesi ndogo na kuwa wanaenda kuiangusha serikali. Nikasema tusubiri tuone.

Leo nitagusia njia mojawapo inayoweza kuipa Serikali mwanya wa kumuachia huru Mbowe na kulinda sura zao. Tukumbuke siku zote Serikali haipendi kuumbuka.

Kabla sijaelezea hilo ngoja niwakumbushe kidogo kesi moja iliyokuwa inamkabili producer wa muziki wa Marekani Sean Combs, maarufu kama Puff Daddy pamoja na msanii wake aliyekuwa anajulikana kama Shyne. Ilikuwa ni kesi ya kurusha risasi ndani ya club ya usiku.

Baada ya kugundua kuwa ni lazima kuna mtu inabidi afungwe katika kesi ile (nadhani kuna mtu alikufa na majeruhi kadhaa) alichofanya Wakili wa Sean Combs, ilikuwa ni kuwatenganisha Sean Combs na Shyne. Kila mmoja akawa anawakilishwa na Wakili wake. Ilikuwa kama ni kumtoa kafara Shyne.

Nashangaa sana mpaka sasa kwa Mawakili wa CHADEMA kutochukua tahadhari za kutosha kumlinda Mbowe. Hili nililielezea vizuri huko nyuma. Katika hatua hii, njia mojawapo wanayoweza kuchukua ni hii ya kuwa na mawakili tofauti kwa Mbowe na wale walinzi wake. Ikiwezekana Mawakili wa walinzi wapunguzwe sana.

Mbowe ni mtu mkubwa sana kupewa uwakilishi sawa na wale walinzi wake hata kama mashitaka dhidi yao yanafanana.

Pia hii itaipa mwanya Serikali kujua pa kuangukia kama wakiona kabisa kuwa lazima afungwe mtu (hata kama ili tu waepuke aibu). Kafara ya wale walinzi siyo kubwa sana kwa uhuru wa Mwenyekiti Mbowe.

Nawasilisha hoja.
Tulianza na Mungu, tunaye Mungu na Tutamaliza na Mungu, hatuna ubaguzi, na hatutabaguana kama tunavyobaguliwa na makaburu weusi Tena wakileo.
 
Msingi wa kesi yote ni Mbowe Mwenyewe, yeye ndiye anashitakiwa kwa kutafuta vijana wa kufanya ugaidi na kufadhili huo ugaidi wa laki sita! Atajitenga vipi na hao walinzi wake?!
Kama ingekuwa kuna ukweli katika hayo mashitaka yeye ndiye mwenye kupata hukumu kali zaidi kuliko hata hao makomandoo.
Katika ufuatiliaji mdogo wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, nimeona mapungufu makubwa ambayo niliwahi kuelezea humu ndani. Wengine walisema sijui kitu na kwamba ile ilikuwa tu kesi ndogo na kuwa wanaenda kuiangusha serikali. Nikasema tusubiri tuone.

Leo nitagusia njia mojawapo inayoweza kuipa Serikali mwanya wa kumuachia huru Mbowe na kulinda sura zao. Tukumbuke siku zote Serikali haipendi kuumbuka.

Kabla sijaelezea hilo ngoja niwakumbushe kidogo kesi moja iliyokuwa inamkabili producer wa muziki wa Marekani Sean Combs, maarufu kama Puff Daddy pamoja na msanii wake aliyekuwa anajulikana kama Shyne. Ilikuwa ni kesi ya kurusha risasi ndani ya club ya usiku.

Baada ya kugundua kuwa ni lazima kuna mtu inabidi afungwe katika kesi ile (nadhani kuna mtu alikufa na majeruhi kadhaa) alichofanya Wakili wa Sean Combs, ilikuwa ni kuwatenganisha Sean Combs na Shyne. Kila mmoja akawa anawakilishwa na Wakili wake. Ilikuwa kama ni kumtoa kafara Shyne.

Nashangaa sana mpaka sasa kwa Mawakili wa CHADEMA kutochukua tahadhari za kutosha kumlinda Mbowe. Hili nililielezea vizuri huko nyuma. Katika hatua hii, njia mojawapo wanayoweza kuchukua ni hii ya kuwa na mawakili tofauti kwa Mbowe na wale walinzi wake. Ikiwezekana Mawakili wa walinzi wapunguzwe sana.

Mbowe ni mtu mkubwa sana kupewa uwakilishi sawa na wale walinzi wake hata kama mashitaka dhidi yao yanafanana.

Pia hii itaipa mwanya Serikali kujua pa kuangukia kama wakiona kabisa kuwa lazima afungwe mtu (hata kama ili tu waepuke aibu). Kafara ya wale walinzi siyo kubwa sana kwa uhuru wa Mwenyekiti Mbowe.

Nawasilisha hoja.
 
Yaani sijaona alichojibu Kaaya kinachopelekea Mbowe kuwa Gaidi. Hajaonyesha Ugaidi wa Mbowe hata sielewi Ushahidi wake ni WA nini. Kampigia simu, kampa fedha ikawaje!!!???
Ushahidi wa kutunga mkuu...Yan unaona live..
 
Katika ufuatiliaji mdogo wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, nimeona mapungufu makubwa ambayo niliwahi kuelezea humu ndani. Wengine walisema sijui kitu na kwamba ile ilikuwa tu kesi ndogo na kuwa wanaenda kuiangusha serikali. Nikasema tusubiri tuone.

Leo nitagusia njia mojawapo inayoweza kuipa Serikali mwanya wa kumuachia huru Mbowe na kulinda sura zao. Tukumbuke siku zote Serikali haipendi kuumbuka.

Kabla sijaelezea hilo ngoja niwakumbushe kidogo kesi moja iliyokuwa inamkabili producer wa muziki wa Marekani Sean Combs, maarufu kama Puff Daddy pamoja na msanii wake aliyekuwa anajulikana kama Shyne. Ilikuwa ni kesi ya kurusha risasi ndani ya club ya usiku.

Baada ya kugundua kuwa ni lazima kuna mtu inabidi afungwe katika kesi ile (nadhani kuna mtu alikufa na majeruhi kadhaa) alichofanya Wakili wa Sean Combs, ilikuwa ni kuwatenganisha Sean Combs na Shyne. Kila mmoja akawa anawakilishwa na Wakili wake. Ilikuwa kama ni kumtoa kafara Shyne.

Nashangaa sana mpaka sasa kwa Mawakili wa CHADEMA kutochukua tahadhari za kutosha kumlinda Mbowe. Hili nililielezea vizuri huko nyuma. Katika hatua hii, njia mojawapo wanayoweza kuchukua ni hii ya kuwa na mawakili tofauti kwa Mbowe na wale walinzi wake. Ikiwezekana Mawakili wa walinzi wapunguzwe sana.

Mbowe ni mtu mkubwa sana kupewa uwakilishi sawa na wale walinzi wake hata kama mashitaka dhidi yao yanafanana.

Pia hii itaipa mwanya Serikali kujua pa kuangukia kama wakiona kabisa kuwa lazima afungwe mtu (hata kama ili tu waepuke aibu). Kafara ya wale walinzi siyo kubwa sana kwa uhuru wa Mwenyekiti Mbowe.

Nawasilisha hoja.
Mkuu hii kesi ni taahira pekee ndiye atakaeamini kuwa mbowe gaidi hata hao walioitengeneza kesi hawajui gaidi ni mtu wa aina gani kutokana na uwezo mdogo wa akili(mazuzu)
 
Aliyemleta huyu kama shahidi ni bogus kama yeye mwenyewe.

Huyu kama wale wahuni wa Sabaya alipaswa kuwa kisongo.
Mia kwa Mia ndugu, hata mimi hili nakubaliana nawe....Kaaya kasema Uongo mchana peupe...eti alikutana na mbowe January huko longido wakati huo huo mwezi huo huo mbowe yuko gerezani, sasa sijui, hivi huyo mbowe alikuwa omni present ? Ni Mungu pekee mwenye sifa hiyo ya kuwa sehemu zote muda wowote...
 
Acha kutia watu ujinga. Kesi hii ni ya kubumba iko wazi wazi, Mashahidi wa Mashtaka wanajikanyaga na wanaonekana kua waongo.

Kweli wakimfunga Mbowe atatoka tu muda si mrefu maana hana kosa, Wakiwafunga mlinzi atatoka maana hana kosa. Kwani hivyo vituo vya mafuta walilipua? Maandamano wakifanya? Walimdhu Jambazi Sabaya?

Mbowe hawezi kujitenga na wale vijana kwa sababu walikamatwa na wako magereza kwa ajili yake. Mungu atatenda makuu maana dhambi haina maisha marefu. Kwahiyo acha kujaza watu ujinga wewe hujui kitu
Hakika. Uko sahihi kabisa. Mahakama itende haki ili tuone mwisho wa hii kesi na iwe fundisho kwa vyombo vya dola kujiingiza kwenye mambo ya siasa na kutengeneza kesi kwa lengo la kuwanyamazisha wanasiasa hasa wa vyama vya upinzani. Wote waende sambamba hadi mwisho.

Cc Keynez
 
Hapana Mbowe hatakiwi kuwa msaliti, na hata siku ya hukumu kama wenzake wakifungwa halafu Mbowe akaachiwa huru kwa kigezo jaji ameshindwa kuthibitisha uhusika wake kwenye kesi pasipo kuacha shaka sitapendezwa na hiyo hukumu, kwangu wote hawana hatia
 
Katika ufuatiliaji mdogo wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, nimeona mapungufu makubwa ambayo niliwahi kuelezea humu ndani. Wengine walisema sijui kitu na kwamba ile ilikuwa tu kesi ndogo na kuwa wanaenda kuiangusha serikali. Nikasema tusubiri tuone.

Leo nitagusia njia mojawapo inayoweza kuipa Serikali mwanya wa kumuachia huru Mbowe na kulinda sura zao. Tukumbuke siku zote Serikali haipendi kuumbuka.

Kabla sijaelezea hilo ngoja niwakumbushe kidogo kesi moja iliyokuwa inamkabili producer wa muziki wa Marekani Sean Combs, maarufu kama Puff Daddy pamoja na msanii wake aliyekuwa anajulikana kama Shyne. Ilikuwa ni kesi ya kurusha risasi ndani ya club ya usiku.

Baada ya kugundua kuwa ni lazima kuna mtu inabidi afungwe katika kesi ile (nadhani kuna mtu alikufa na majeruhi kadhaa) alichofanya Wakili wa Sean Combs, ilikuwa ni kuwatenganisha Sean Combs na Shyne. Kila mmoja akawa anawakilishwa na Wakili wake. Ilikuwa kama ni kumtoa kafara Shyne.

Nashangaa sana mpaka sasa kwa Mawakili wa CHADEMA kutochukua tahadhari za kutosha kumlinda Mbowe. Hili nililielezea vizuri huko nyuma. Katika hatua hii, njia mojawapo wanayoweza kuchukua ni hii ya kuwa na mawakili tofauti kwa Mbowe na wale walinzi wake. Ikiwezekana Mawakili wa walinzi wapunguzwe sana.

Mbowe ni mtu mkubwa sana kupewa uwakilishi sawa na wale walinzi wake hata kama mashitaka dhidi yao yanafanana.

Pia hii itaipa mwanya Serikali kujua pa kuangukia kama wakiona kabisa kuwa lazima afungwe mtu (hata kama ili tu waepuke aibu). Kafara ya wale walinzi siyo kubwa sana kwa uhuru wa Mwenyekiti Mbowe.

Nawasilisha hoja.
Sawa bush lawyer
 
Una hoja lakini hapana, Mwenyekiti ninaemjua mimi hawezi kukubali hayo. hata kama jinai kila mshitakiwa husimama peke yake. lakini kwa sababu kesi ni ya kubumba basi hakuna kutenganisha mawakiri
 
Mh Mbowe ni kiongozu
Acha kutia watu ujinga. Kesi hii ni ya kubumba iko wazi wazi, Mashahidi wa Mashtaka wanajikanyaga na wanaonekana kua waongo.

Kweli wakimfunga Mbowe atatoka tu muda si mrefu maana hana kosa, Wakiwafunga mlinzi atatoka maana hana kosa. Kwani hivyo vituo vya mafuta walilipua? Maandamano wakifanya? Walimdhu Jambazi Sabaya?

Mbowe hawezi kujitenga na wale vijana kwa sababu walikamatwa na wako magereza kwa ajili yake. Mungu atatenda makuu maana dhambi haina maisha marefu. Kwahiyo acha kujaza watu ujinga wewe hujui kitu

Katika ufuatiliaji mdogo wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, nimeona mapungufu makubwa ambayo niliwahi kuelezea humu ndani. Wengine walisema sijui kitu na kwamba ile ilikuwa tu kesi ndogo na kuwa wanaenda kuiangusha serikali. Nikasema tusubiri tuone.

Leo nitagusia njia mojawapo inayoweza kuipa Serikali mwanya wa kumuachia huru Mbowe na kulinda sura zao. Tukumbuke siku zote Serikali haipendi kuumbuka.

Kabla sijaelezea hilo ngoja niwakumbushe kidogo kesi moja iliyokuwa inamkabili producer wa muziki wa Marekani Sean Combs, maarufu kama Puff Daddy pamoja na msanii wake aliyekuwa anajulikana kama Shyne. Ilikuwa ni kesi ya kurusha risasi ndani ya club ya usiku.

Baada ya kugundua kuwa ni lazima kuna mtu inabidi afungwe katika kesi ile (nadhani kuna mtu alikufa na majeruhi kadhaa) alichofanya Wakili wa Sean Combs, ilikuwa ni kuwatenganisha Sean Combs na Shyne. Kila mmoja akawa anawakilishwa na Wakili wake. Ilikuwa kama ni kumtoa kafara Shyne.

Nashangaa sana mpaka sasa kwa Mawakili wa CHADEMA kutochukua tahadhari za kutosha kumlinda Mbowe. Hili nililielezea vizuri huko nyuma. Katika hatua hii, njia mojawapo wanayoweza kuchukua ni hii ya kuwa na mawakili tofauti kwa Mbowe na wale walinzi wake. Ikiwezekana Mawakili wa walinzi wapunguzwe sana.

Mbowe ni mtu mkubwa sana kupewa uwakilishi sawa na wale walinzi wake hata kama mashitaka dhidi yao yanafanana.

Pia hii itaipa mwanya Serikali kujua pa kuangukia kama wakiona kabisa kuwa lazima afungwe mtu (hata kama ili tu waepuke aibu). Kafara ya wale walinzi siyo kubwa sana kwa uhuru wa Mwenyekiti Mbowe.

Nawasilisha hoja.
Mh Mbowe ni Kiongozi lazima awe mfano hawezi kukubali ubaguzi huo. Walianza na Mungu watamaliza na Mungu
 
Katika ufuatiliaji mdogo wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, nimeona mapungufu makubwa ambayo niliwahi kuelezea humu ndani. Wengine walisema sijui kitu na kwamba ile ilikuwa tu kesi ndogo na kuwa wanaenda kuiangusha serikali. Nikasema tusubiri tuone.

Leo nitagusia njia mojawapo inayoweza kuipa Serikali mwanya wa kumuachia huru Mbowe na kulinda sura zao. Tukumbuke siku zote Serikali haipendi kuumbuka.

Kabla sijaelezea hilo ngoja niwakumbushe kidogo kesi moja iliyokuwa inamkabili producer wa muziki wa Marekani Sean Combs, maarufu kama Puff Daddy pamoja na msanii wake aliyekuwa anajulikana kama Shyne. Ilikuwa ni kesi ya kurusha risasi ndani ya club ya usiku.

Baada ya kugundua kuwa ni lazima kuna mtu inabidi afungwe katika kesi ile (nadhani kuna mtu alikufa na majeruhi kadhaa) alichofanya Wakili wa Sean Combs, ilikuwa ni kuwatenganisha Sean Combs na Shyne. Kila mmoja akawa anawakilishwa na Wakili wake. Ilikuwa kama ni kumtoa kafara Shyne.

Nashangaa sana mpaka sasa kwa Mawakili wa CHADEMA kutochukua tahadhari za kutosha kumlinda Mbowe. Hili nililielezea vizuri huko nyuma. Katika hatua hii, njia mojawapo wanayoweza kuchukua ni hii ya kuwa na mawakili tofauti kwa Mbowe na wale walinzi wake. Ikiwezekana Mawakili wa walinzi wapunguzwe sana.

Mbowe ni mtu mkubwa sana kupewa uwakilishi sawa na wale walinzi wake hata kama mashitaka dhidi yao yanafanana.

Pia hii itaipa mwanya Serikali kujua pa kuangukia kama wakiona kabisa kuwa lazima afungwe mtu (hata kama ili tu waepuke aibu). Kafara ya wale walinzi siyo kubwa sana kwa uhuru wa Mwenyekiti Mbowe.

Nawasilisha hoja.
Nikisema matokeo ya siasa za CHADEMA zenye vimelea vya ubaguzi , ni kutoka na mentality kama hizi.

Thamani ya maisha ya mtu haipimwi kwa umaarufu wake. Ibara ya 13 ya Katiba inaelezea usawa wa kila mtu bila kujali daraja, jinsia wala nasaba.

Grow up dude, punguza kujadili kesi iliyopo mahakamani. Tunafuatilia kinachojiri na siyo kupiga ramli maamuzi ya mahakama
 
Back
Top Bottom