Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe asipojiuzulu analaumiwa kwa kutojiuzulu, akijiuzulu analaumiwa kwa kujiuzulu.Namshauri Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ajiuzulu kwa kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.
Mwenyekiti asitqfuta kisingizio kingine, anacho takiwa ni kujiuzulu kwa masilahi ya Chama.
Akili zingine hizi, walikuwa wanachagua ni wananchiNamshauri Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ajiuzulu kwa kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.
Mwenyekiti asitqfuta kisingizio kingine, anacho takiwa ni kujiuzulu kwa masilahi ya Chama.