Mbowe hawezi jiuzulu sana sana ataleta poroja zake za kila sku ccm wameiba kula, mawakala wetu walitolewa vituoni kwa ufupi mbowe ni kachelo wa Ccm na iyo ndo kaz yake ndan ya chadema
Namshauri Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ajiuzulu kwa kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.
Mwenyekiti asitqfuta kisingizio kingine, anacho takiwa ni kujiuzulu kwa masilahi ya Chama.
Namshauri Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ajiuzulu kwa kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024.
Mwenyekiti asitqfuta kisingizio kingine, anacho takiwa ni kujiuzulu kwa masilahi ya Chama.