- Thread starter
- #21
Acha stori za vijiweni wewe.
Wewe wa vijiweni usidhani kila mtu ndiko anako belong
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha stori za vijiweni wewe.
Sindano ta Segerea inamwingia Mbowe.Safi sana.
Huitaji kuambiwa. Tabia za malaika na shetani zinajulikana. Kwa matendo yao mtawatambua. Matendo ya Mbowe na ugaidi wake tunautambua, ndiyo maana sasa hivi ananyea ndoo gerezani.
CHADEMA SIO CHAMA CHA VISASI, japo binafsi nimuomba Kama Rais anipe watu 10 wa ccm niwachape viboko, hasa wa kwenye vyombo vya ulinzi nikimtoa MABEYO, MAGEREZA, UAMIAJIDunia duara na wengine husema dunia mzunguko.
Walikuwapo kina Mandela, Kenyatta, Nyerere hata huyu wa Zambia. Katika harakati zao wakajitanabaisha ana kwa ana na watesi wao hadi jela zikawahusu.
Mungu si Athumani hivi nyote hata bila kuyataja majina yenu mnazijua hatima za watu wote?
Au ni yale yale ya kumlaumu Hamza Kasongo bila ya kuwa na neno lolote kwa madhulumati?
Dunia huzunguka na aliyekupa wewe leo ni huyo huyo aliyemnyima mwingine leo. Kwanini kutengeneza mazingira ya unasema wa kudumu?
Kwanini tusiwatendee wengine yale tu ambako tungependa wenyewe kutendewa?
Sawa mheshimiwa.Wewe wa vijiweni usidhani kila mtu ndiko anako belong
Ndoto za abnuwasi labda rais wa fau john
Kwani umesikia mbowe anataka urais?
Unaona, wengine wanelala lakini kiongozi shujaa wa Tanzania yeye amesimama. Hata akifariki, kiongozi shujaa anaendelea kusimama popote pale alipo.. Unaona alivyosimama kishujaa!! RIP shujaa wa Tanzania
Shangaa pia kwa nini ndani ya muda huo huyu ni amekuwa Senior member? Akilinene.
Atasamehe kama Mandela!!Dunia duara na wengine husema dunia mzunguko.
Walikuwapo kina Mandela, Kenyatta, Nyerere hata huyu wa Zambia. Katika harakati zao wakajitanabaisha ana kwa ana na watesi wao hadi jela zikawahusu.
Mungu si Athumani hivi nyote hata bila kuyataja majina yenu mnazijua hatima za watu wote?
Au ni yale yale ya kumlaumu Hamza Kasongo bila ya kuwa na neno lolote kwa madhulumati?
Dunia huzunguka na aliyekupa wewe leo ni huyo huyo aliyemnyima mwingine leo. Kwanini kutengeneza mazingira ya unasema wa kudumu?
Kwanini tusiwatendee wengine yale tu ambako tungependa wenyewe kutendewa?
kuna wimbi la new IDs kwenye huu uzi,
Shangaa pia kwa nini ndani ya muda huo huyu ni amekuwa Senior member? Akilinene.
Kumbe wewe ni darasa la chekechea! Unatumia JF kufanya home work za shuleni kwako. I am immediately ignoring you.
One insane less to deal with is very optimalKumbe wewe ni darasa la chekechea! Unatumia JF kufanya home work za shuleni kwako. I am immediately ignoring you.
Kiukwel mkuu ,hii ni ndoto ya alinacha