Mbowe akija kuwa Rais, Itakuwaje kwa watesi Wake?

Huitaji kuambiwa. Tabia za malaika na shetani zinajulikana. Kwa matendo yao mtawatambua. Matendo ya Mbowe na ugaidi wake tunautambua, ndiyo maana sasa hivi ananyea ndoo gerezani.


Kuna kiongozi wao hapo kajaa tele
 
CHADEMA SIO CHAMA CHA VISASI, japo binafsi nimuomba Kama Rais anipe watu 10 wa ccm niwachape viboko, hasa wa kwenye vyombo vya ulinzi nikimtoa MABEYO, MAGEREZA, UAMIAJI
 
Atasamehe kama Mandela!!
 
Kwa jinsi alivyokaa muda mrefu kwenye uenyekiti wa cdm huyu mwamba akiwa rais anaweza kuwa paul biya yule rais wa cameroon
 
Kiukwel mkuu ,hii ni ndoto ya alinacha
 
Kumbe wewe ni darasa la chekechea! Unatumia JF kufanya home work za shuleni kwako. I am immediately ignoring you.
One insane less to deal with is very optimal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…