Mbowe akija kuwa Rais, Itakuwaje kwa watesi Wake?

Hana kisasi huyu ndg
 
Kwa jinsi alivyokaa muda mrefu kwenye uenyekiti wa cdm huyu mwamba akiwa rais anaweza kuwa paul biya yule rais wa cameroon

Umemsahau aliyepanga kuwa wa maisha kuliko hata Paul Biya?



Ashukuriwe bwana wa majeshi
 
Unaona, wengine wanelala lakini kiongozi shujaa wa Tanzania yeye amesimama. Hata akifariki, kiongozi shujaa anaendelea kusimama popote pale alipo.. Unaona alivyosimama kishujaa!! RIP shujaa wa Tanzania

Nikadhani ni malaika kiongozi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…