Mbowe akimbilia kwenye Maombi kurudisha mioyo ya wanachadema

Haamini, nikikumbuka slogan ya mwanzo kua,"UKIPIGWA HAKUNA KUHAMA"[emoji1787]
Walikua wanajiamini sana, Mzee alikua anajiona yeye ndo Chadema wafuasi wote wa Chama wanampenda yeye peke yake na kumuamini, ahamini alichokiona
 
Mbowe apumzike acheni kumpa Mungu mitihani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…