BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
Ila we jamaaa khaaaah mtamuua mbowe sasaKwenye hayo maombi Odemba atakuwepo akiongozana na Lissu.
Anaweza akakacha hadi kwenye maombi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila we jamaaa khaaaah mtamuua mbowe sasaKwenye hayo maombi Odemba atakuwepo akiongozana na Lissu.
Anaweza akakacha hadi kwenye maombi
Hii imetengenzwa tu kusherehesha wana jukaa wa JF na kungineko.Duu! Ni ya kweli hii au imetengenezwa?
😃😃Kwenye hayo maombi Odemba atakuwepo akiongozana na Lissu.
Anaweza akakacha hadi kwenye maombi
1. Hivi Freeman Mbowe kufanya TOBA ya kuacha uongo na kuwa mkweli tu unahitaji kwenda kwa manabii feki hawa ili kukuombea, manabii wadanganyifu wasioweza kumwambia mtu ukweli Ili aache njia zake mbaya za maisha? Unadhani Mungu anaweza kuhongeka..??Ni Maombi ya kurudisha Mioyo ya Wanachadema Wamrudie Baba Yao
Kweli hali ni Mbaya kwa Mwamba, amekacha kwenye Mdaharo kaibukia kwenye Maombi, kama alivyoibukia Ikulu wakati watu wanamsubili mahakamani
Hakika Buyu la Asali limeguswaView attachment 3204644
wewe utauwa mdude chademaNi Maombi ya kurudisha Mioyo ya Wanachadema Wamrudie Baba Yao
Kweli hali ni Mbaya kwa Mwamba, amekacha kwenye Mdaharo kaibukia kwenye Maombi, kama alivyoibukia Ikulu wakati watu wanamsubili mahakamani
Hakika Buyu la Asali limeguswaView attachment 3204644