Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ulichoandika X umekileta huku🙂🙂🙂🙂🙂View attachment 3185818
USHAURI: (Mbowe & Lissu) na Wenje wajitoe kugombea uenyekiti na makamu uenyekiti mtawalia, ili kuinusuru CHADEMA, wagombee watu wengine kama akina Lema, Heche nk ambao hawana makundi ndani ya chama.
Lisu mitandaoWenje anagombea na nani nafasi hiyo? .kundi la mbowe linajulikana ni akina boni yai, ntobi, sugu, je kundi la lissu ni akina nani?
Wenje anagombea na nani nafasi hiyo? .kundi la mbowe linajulikana ni akina boni yai, ntobi, sugu, je kundi la lissu ni akina nani?
CCM acheni woga kwa Mbowe.View attachment 3185818
USHAURI: (Mbowe & Lissu) na Wenje wajitoe kugombea uenyekiti na makamu uenyekiti mtawalia, ili kuinusuru CHADEMA, wagombee watu wengine kama akina Lema, Heche nk ambao hawana makundi ndani ya chama.
Ambako ndimo chadema wengi wenye akili wamo humo, mbowe anaungwa mkono na wajinga!.Lisu mitandao
View attachment 3185818
USHAURI: (Mbowe & Lissu) na Wenje wajitoe kugombea uenyekiti na makamu uenyekiti mtawalia, ili kuinusuru CHADEMA, wagombee watu wengine kama akina Lema, Heche nk ambao hawana makundi ndani ya chama.
Na hao wenye akili wengi sio wapiga kuraAmbako ndimo chadema wengi wenye akili wamo humo, mbowe anaungwa mkono na wajinga!.
Jitu limekaa madarakani miaka 21 ana kipi kipya cha kutu offer tena?!.
Kachuja, kachoka!!.
Lema na Heche wote hao wapo na Lissu, kwa hiyo kundi la Lissu litakuwa laowagombee watu wengine kama akina Lema, Heche nk ambao hawana makundi ndani ya chama.