Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Sijui katiba inasemaje imenshtuaa
Leo wakati Odemba WA Star tv anahoji aliuliza swali WAKILI na baadhi ya wanachama kwenye mdahalo
Vipi Mbowe MH akishindwa Itakuwaje?
MMOJA akajibu atabaki kuwa MJUMBE WA kamati kuu
Alipoulizwa vipi kuhusu Tundu Lissu akishindwa akajibiwa atabaki kuwa mwanachama WA kawaidaaa
Hivi kipengele cha kubaki kamati kuu kinatokea wapi
Na vipi MMOJA akishindwa anabaki mwanachama
anakuwa Badoo mjumbe wa kamati kuu?
Kwenu wanasiasaaa
Leo wakati Odemba WA Star tv anahoji aliuliza swali WAKILI na baadhi ya wanachama kwenye mdahalo
Vipi Mbowe MH akishindwa Itakuwaje?
MMOJA akajibu atabaki kuwa MJUMBE WA kamati kuu
Alipoulizwa vipi kuhusu Tundu Lissu akishindwa akajibiwa atabaki kuwa mwanachama WA kawaidaaa
Hivi kipengele cha kubaki kamati kuu kinatokea wapi
Na vipi MMOJA akishindwa anabaki mwanachama
anakuwa Badoo mjumbe wa kamati kuu?
Kwenu wanasiasaaa