Mbowe akubaliana na Nyani Ngabu?

Mbowe akubaliana na Nyani Ngabu?

Wameuchukua ushaur wako kwa sabab jamaa wamenusa kuwa Bi Mkubwa ni mwepes kumtikisa lkn km Bi Mkubwa akikaza bila shaka 25 hasusi MTU.
Mimi sitarajii huyo Mama kuruhusu mambo ya katiba mpya au tume huru ya uchaguzi...
 
Hey, ni mimi na si mwingine ambaye nishasema mara nyingi sana humu kuwa, ingekuwa ni juu yangu mimi basi nisingeshiriki chaguzi zozote zile zifanyikazo Tanzania chini ya usimamizi na uendeshwaji wa tume ya taifa ya uchaguzi yenye muundo iliyonayo sasa hivi ambapo kimsingi huwa inaundwa na mwenyekiti wa CCM.

Ni uamuzi rahisi sana ambao hauna ugumu wowote ule.

Soma hii mada yangu ya mwaka jana [na ninazo kadhaa zenye maudhui yafananayo].


Sasa leo inasemwa kuwa Mbowe naye kasema kuwa kuanzia sasa hawatashiriki tena chaguzi mpaka hapo kutapokuweko walau na tume huru ya uchaguzi. Rejea uzi huu hapa chini...


Nikisema sasa Freeman Mbowe anakubaliana na Nyani Ngabu au Freeman Mbowe aukubali ushauri wa Nyani Ngabu, nitakuwa nimekosea?

Oh...halafu majuzi hapa Tundu Lissu katumia maneno yangu pia [emoji6]

Heheheeee.....I’m just sayin’
Maneno yako kivipi

Wewe sio kwanza kupendekeza ishu kama hiyo

Tangu kitambo hicho watu (hususani wanaharakati)

Hata J-Zee huo umekuwa wimbo wake kila siku
 
Atasimamia alichosema?
Unajua kuna watu bado wana underate ukatili na consolidated power ya CCM.

What else are they going to do after kususia ??

Kwamba CCM wawaite wawabembeleze kwamba msijali, tunarekebisha tume, really ???

Tume huru ya uchaguzi + Katiba mpya itakuja kupatikana nchi hii kwa mbinde baada ya mapigano ya wananchi wenyewe. Case study ni Zanzibar (2007 ) na Kenya. Kikwete pekee ndiye aliyetaka kuleta katiba mpya kwa amani na akapigwa vita mnoo.

Imagine hapo Zanzibar, walitengeneza katiba inatiwahusisha mpaka wajumbe wawili wa upinzani lakini bado CCM wanapora tu kwa kutumia Jeshi!!!

Leo wewe unasusa, kwa msajili kuna vyama vya siasa zaidi 18 vinashiriki ( vingine vya kutafutia fursa tu mjini ) wewe unabaki kunung'unika tu.

Binafsi naamini kwenye kushiriki kwasababu:

- Ndio jukwaa la kutolea elimubya uraia na kutafuta kuungwa mkono.

- Licha ya ubovu wa katiba na Tume lakini upinzani umekuwa ukipiga hatua kubwa tu ( hii inasaidia kuimega dubwana CCM kidogo kidogo). Ni ngumu kutegemea huruma ya hao hao CCM au kusubiri uliangushe dude kama CCM oncr and for all.

- Most importantly, CCM kama chama ni kama hakipo. CCM ni Dola ( ndio nguvu wakiyo nayo ). Ndio maana hakuna mwanaCCM mwenye nguvu kuliko Rais ( labda Rais atake mwenyewe )

Hivyo, kushiriki kuna faida zaidi kuliko kususa . Ukisusa utakosa nguvu, kiuchumi na kupunguza uungwaji mkono. Hakuna asiyejua kuwa siku zote raia nao wana mahitaji yao ambayo ni tofauti ya wanasiasa ( ajira, maji, umeme, kodi, barabara, soko etc )

Anyway, let's wait and see maana kususa CUF wslisusa and nothing happenned, CCM walipora serikali za mitaa, Uchaguzi mkuu and nothing happened.

Ngoja tuone wakati huu, in case kutakuwa na any wonders.
 
mama asipobana katika uhuru wa uendeshaji wa hii vyama,na hasa akairekebisha ile sheria ya uchaguzi na sheria zote kandamizi zinazohusiana na uchaguzi,basi nina uhakika in the near or far away future CHADEMA watatoboa.

Pia sheria zote zinazogusa maswala ya uendeshaji wa vyama vya siasa,zisipobadilishwa,wasiofu wabaki na msimamo huo huo.

wakiomba mchango mimi nitawachangia.

hata wakisema tuwachangie gharama za uendeshaji wa chama kila mwezi,mimi nitafanya hvyo,as long as wakastick kwenye ajenda hii.
 
mama asipobana katika uhuru wa uendeshaji wa hii vyama,na hasa akairekebisha ile sheria ya uchaguzi na sheria zote kandamizi zinazohusiana na uchaguzi,basi nina uhakika in the near or far away future CHADEMA watatoboa.

Pia sheria zote zinazogusa maswala ya uendeshaji wa vyama vya siasa,zisipobadilishwa,wasiofu wabaki na msimamo huo huo.

wakiomba mchango mimi nitawachangia.

hata wakisema tuwachangie gharama za uendeshaji wa chama kila mwezi,mimi nitafanya hvyo,as long as wakastick kwenye ajenda hii.
Unaamin Bi Mkubwa arekebishe hizo sheria ili ufipa watoboe!!!
 
Maneno yako kivipi

Wewe sio kwanza kupendekeza ishu kama hiyo

Tangu kitambo hicho watu (hususani wanaharakati)

Hata J-Zee huo umekuwa wimbo wake kila siku
Hater!

Vamoose.
 
HV ili tume iwe huru muundo wake wa utawala unapaswa kuwa VP na watendaj wake wanapatikana vp
Kubwa kuliko yote safu ya uongozi wake isiwe inateuliwa na Rais aliyepo madarakani ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM na mgombea urais.

Wewe kabisa unaona ni sawa kwa Rais Samia kumteua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi, makamu mwenyekiti, mkurugenzi, na viongozi wengine wa tume halafu ifikapo 2025 ukashiriki uchaguzi dhidi ya Samia na CCM yake?

Huo kabisa tatizo lilipo hapo?
 
Muuza viatu

nimeandika nikijua ugumu wa ccm kufanya mabadiliko yoyote yatakayohatarisha ulaji wao.

kikubwa,kama ingewezekana,upinzani wangepambana hvyo hvyo!
 
Pamoja na mapungufu yake kadhaa, Mh Mbowe ni mwanasiasa na kiongozi mzuri.....ana maturity fulani ambayo wanasiasa wengine wanakosa!
 
Unajua kuna watu bado wana underate ukatili na consolidated power ya CCM.

What else are they going to do after kususia ??

Kwamba CCM wawaite wawabembeleze kwamba msijali, tunarekebisha tume, really ???

Tume huru ya uchaguzi + Katiba mpya itakuja kupatikana nchi hii kwa mbinde baada ya mapigano ya wananchi wenyewe. Case study ni Zanzibar (2007 ) na Kenya. Kikwete pekee ndiye aliyetaka kuleta katiba mpya kwa amani na akapigwa vita mnoo.

Imagine hapo Zanzibar, walitengeneza katiba inatiwahusisha mpaka wajumbe wawili wa upinzani lakini bado CCM wanapora tu kwa kutumia Jeshi!!!

Leo wewe unasusa, kwa msajili kuna vyama vya siasa zaidi 18 vinashiriki ( vingine vya kutafutia fursa tu mjini ) wewe unabaki kunung'unika tu.

Binafsi naamini kwenye kushiriki kwasababu:

- Ndio jukwaa la kutolea elimubya uraia na kutafuta kuungwa mkono.

- Licha ya ubovu wa katiba na Tume lakini upinzani umekuwa ukipiga hatua kubwa tu ( hii inasaidia kuimega dubwana CCM kidogo kidogo). Ni ngumu kutegemea huruma ya hao hao CCM au kusubiri uliangushe dude kama CCM oncr and for all.

- Most importantly, CCM kama chama ni kama hakipo. CCM ni Dola ( ndio nguvu wakiyo nayo ). Ndio maana hakuna mwanaCCM mwenye nguvu kuliko Rais ( labda Rais atake mwenyewe )

Hivyo, kushiriki kuna faida zaidi kuliko kususa . Ukisusa utakosa nguvu, kiuchumi na kupunguza uungwaji mkono. Hakuna asiyejua kuwa siku zote raia nao wana mahitaji yao ambayo ni tofauti ya wanasiasa ( ajira, maji, umeme, kodi, barabara, soko etc )

Anyway, let's wait and see maana kususa CUF wslisusa and nothing happenned, CCM walipora serikali za mitaa, Uchaguzi mkuu and nothing happened.

Ngoja tuone wakati huu, in case kutakuwa na any wonders.
Absolutely right!
 
Toka 2005 mimi huo ndo umekuwa msimamo wangu.

Matter of fact, ni tokea 1995.

Nishasema kuwa ilikuwa ni makosa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi bila katiba mpya na tume mpya ya uchaguzi iliyo huru!
Nami ninachosema ni kwamba, maoni kama hayo yameshatolewa sana kiasi kwamba ni ngumu kufahamu nani awe reference! Na pia usisahau kwamba, CHADEMA walisusia chaguzi zote ndogo zilizofanyika kati ya 2015 to 2020.
 
Nami ninachosema ni kwamba, maoni kama hayo yameshatolewa sana kiasi kwamba ni ngumu kufahamu nani awe reference! Na pia usisahau kwamba, CHADEMA walisusia chaguzi zote ndogo zilizofanyika kati ya 2015 to 2020.
Kususia chaguzi ndogo halafu unashiriki chaguzi kubwa wakati mazingira bado ni yaleyale ni kilele cha umajinuni!

Unakuwa huna msimamo! Unayumba yumba tu kama yangeyange au mbayuwayu.

Hakuna kushiriki chaguzi zozote zile chini ya tume hii ya uchaguzi ndo msimamo bora na thabiti.
 
Kina Mbowe hawakukosea wakati ule,kila kitu na wakati wake.
Wasingeshiriki wakati ule watu wangewaambia waoga na wanasingizia tu.
Lakini Sasa wakati umefika na ushahidi wanao.

Hongera kwa kuliona Hilo.
Ila CCM sio watu .
Hata Mama bado ni CCM tu.
 
Back
Top Bottom