LGE2024 Mbowe alalamika kuhusu ubakaji wa Demokrasia kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Mbowe alalamika kuhusu ubakaji wa Demokrasia kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
1731056978490.png

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ametumia mtandao wa X kulalamika kuhusu vitendo vya ubakaji wa Demokrasia unaoendelea kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Mbowe ameandika;

"Taifa linaendelea kushuhudia kwa njia mbalimbali ubakaji mkubwa wa demokrasia kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

"Wasimamizi wa "uchafuzi" huu wamekiuka kwa kiwango kikubwa hata kanuni na miongozo mibovu iliyotengenezwa kwa makusudi na hivyo kuweka mazingira ya ushindani usiyo wa haki.


Kupata matukio yote kimkoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa bofya hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Madhara ya ubatili huu ni kuendelea kukosekana haki, Uhuru na demokrasia ya kweli katika ngazi ya chini zaidi na ya kwanza katika Utawala wa nchi, kunakomgusa kila mwananchi.

"SamiaSuluhuHassan, Serikali na Chama chako mmeshauriwa kwa kila njia lakini hamjaonyesha chembe ya kujali haki za wananchi kwenye hili.

"Watanzania wote tunapaswa kutambua wajibu wa kukomesha uporaji wa haki katika uchaguzi huu hatimaye uko mikononi mwetu kila mmoja kwa eneo lake.

"Kwa namna ileile mnavyokosa amani katika mchakato huu, wahusika wachakachuaji wanapaswa nao kuishi kwa hofu na kukosa amani hadi pale watakaposimama katika haki kwa wote.

"Wananchi wasilaumiwe pale watakapochukua hatua kudai haki zao za msingi kwenye hili."
 

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ametumia mtandao wa X kulalamika kuhusu vitendo vya ubakaji wa Demokrasia unaoendelea kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Mbowe ameandika;

"Taifa linaendelea kushuhudia kwa njia mbalimbali ubakaji mkubwa wa demokrasia kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

"Wasimamizi wa "uchafuzi" huu wamekiuka kwa kiwango kikubwa hata kanuni na miongozo mibovu iliyotengenezwa kwa makusudi na hivyo kuweka mazingira ya ushindani usiyo wa haki.


Kupata matukio yote kimkoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa bofya hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Madhara ya ubatili huu ni kuendelea kukosekana haki, Uhuru na demokrasia ya kweli katika ngazi ya chini zaidi na ya kwanza katika Utawala wa nchi, kunakomgusa kila mwananchi.

"SamiaSuluhuHassan, Serikali na Chama chako mmeshauriwa kwa kila njia lakini hamjaonyesha chembe ya kujali haki za wananchi kwenye hili.

"Watanzania wote tunapaswa kutambua wajibu wa kukomesha uporaji wa haki katika uchaguzi huu hatimaye uko mikononi mwetu kila mmoja kwa eneo lake.

"Kwa namna ileile mnavyokosa amani katika mchakato huu, wahusika wachakachuaji wanapaswa nao kuishi kwa hofu na kukosa amani hadi pale watakaposimama katika haki kwa wote.

"Wananchi wasilaumiwe pale watakapochukua hatua kudai haki zao za msingi kwenye hili."
Hapa naona ulalamishi tu, ubakaji, uchafuzi. Hebu aache mawenge aseme tatizo liko wapi aache kulia lia, au ndio mawenge yenyewe anayosemea Lissu?
 
Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe amesema kuwa kinachoendelea kwenye mchakato wa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ni ubakaji wa demokrasia.

---
Taifa linaendelea kushuhudia kwa njia mbalimbali ubakaji mkubwa wa demokrasia kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

Wasimamizi wa "uchafuzi" huu wamekiuka kwa kiwango kikubwa hata kanuni na miongozo mibovu iliyotengenezwa kwa makusudi na hivyo kuweka mazingira ya ushindani usiyo wa haki.

Madhara ya ubatili huu ni kuendelea kukosekana haki, Uhuru na demokrasia ya kweli katika ngazi ya chini zaidi na ya kwanza katika Utawala wa nchi, kunakomgusa kila mwananchi.

@SamiaSuluhuHassan, Serikali na Chama chako mmeshauriwa kwa kila njia lakini hamjaonyesha chembe ya kujali haki za wananchi kwenye hili.

Watanzania wote tunapaswa kutambua wajibu wa kukomesha uporaji wa haki katika uchaguzi huu hatimaye uko mikononi mwetu kila mmoja kwa eneo lake.

Kwa namna ileile mnavyokosa amani katika mchakato huu, wahusika wachakachuaji wanapaswa nao kuishi kwa hofu na kukosa amani hadi pale watakaposimama katika haki kwa wote.

Wananchi wasilaumiwe pale watakapochukua hatua kudai haki zao za msingi kwenye hili.


Screenshot_20241108-144752.png
 
Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe amesema kuwa kinachoendelea kwenye mchakato wa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ni ubakaji wa demokrasia.

View attachment 3147003
Mbowe mwenyewe binafsi ni mamluki na pandikizi. Haaminiki hata kidogo kwa sababu ni mtu ambaye hana msimamo unaoeleweka. Ni kinyonga huyo, 'rangi yake halisi haijulikani.'
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 4
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 4
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ametumia mtandao wa X kulalamika kuhusu vitendo vya ubakaji wa Demokrasia unaoendelea kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Mbowe ameandika;

"Taifa linaendelea kushuhudia kwa njia mbalimbali ubakaji mkubwa wa demokrasia kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

"Wasimamizi wa "uchafuzi" huu wamekiuka kwa kiwango kikubwa hata kanuni na miongozo mibovu iliyotengenezwa kwa makusudi na hivyo kuweka mazingira ya ushindani usiyo wa haki.


Kupata matukio yote kimkoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa bofya hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Madhara ya ubatili huu ni kuendelea kukosekana haki, Uhuru na demokrasia ya kweli katika ngazi ya chini zaidi na ya kwanza katika Utawala wa nchi, kunakomgusa kila mwananchi.

"SamiaSuluhuHassan, Serikali na Chama chako mmeshauriwa kwa kila njia lakini hamjaonyesha chembe ya kujali haki za wananchi kwenye hili.

"Watanzania wote tunapaswa kutambua wajibu wa kukomesha uporaji wa haki katika uchaguzi huu hatimaye uko mikononi mwetu kila mmoja kwa eneo lake.

"Kwa namna ileile mnavyokosa amani katika mchakato huu, wahusika wachakachuaji wanapaswa nao kuishi kwa hofu na kukosa amani hadi pale watakaposimama katika haki kwa wote.

"Wananchi wasilaumiwe pale watakapochukua hatua kudai haki zao za msingi kwenye hili."
Yeye ni mmbakaji namba moja ndio maana amekuwa mwenyekiti wa kudumu
 
Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe amesema kuwa kinachoendelea kwenye mchakato wa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ni ubakaji wa demokrasia.

---
Taifa linaendelea kushuhudia kwa njia mbalimbali ubakaji mkubwa wa demokrasia kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

Wasimamizi wa "uchafuzi" huu wamekiuka kwa kiwango kikubwa hata kanuni na miongozo mibovu iliyotengenezwa kwa makusudi na hivyo kuweka mazingira ya ushindani usiyo wa haki.

Madhara ya ubatili huu ni kuendelea kukosekana haki, Uhuru na demokrasia ya kweli katika ngazi ya chini zaidi na ya kwanza katika Utawala wa nchi, kunakomgusa kila mwananchi.

@SamiaSuluhuHassan, Serikali na Chama chako mmeshauriwa kwa kila njia lakini hamjaonyesha chembe ya kujali haki za wananchi kwenye hili.

Watanzania wote tunapaswa kutambua wajibu wa kukomesha uporaji wa haki katika uchaguzi huu hatimaye uko mikononi mwetu kila mmoja kwa eneo lake.

Kwa namna ileile mnavyokosa amani katika mchakato huu, wahusika wachakachuaji wanapaswa nao kuishi kwa hofu na kukosa amani hadi pale watakaposimama katika haki kwa wote.

Wananchi wasilaumiwe pale watakapochukua hatua kudai haki zao za msingi kwenye hili.


View attachment 3147003
Mzee Mbowe INGAwa unayoyasema yannaweza kuwa ni kweli lakini kwa upande wako umeshapoteza credibility ya kuyasemea
Anza Demokrasia NDANI ya chama Chako kwanza
 
Mzee Mbowe INGAwa unayoyasema yannaweza kuwa ni kweli lakini kwa upande wako umeshapoteza credibility ya kuyasemea
Anza Demokrasia NDANI ya chama Chako kwanza
Amewadanganya msukule wake kuwa yeye hawezi kuwasaliti ,akiulizwa usalti upi hadi awe mwenyekiti wa maisha hana jibu
 

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ametumia mtandao wa X kulalamika kuhusu vitendo vya ubakaji wa Demokrasia unaoendelea kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Mbowe ameandika;

"Taifa linaendelea kushuhudia kwa njia mbalimbali ubakaji mkubwa wa demokrasia kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji.

"Wasimamizi wa "uchafuzi" huu wamekiuka kwa kiwango kikubwa hata kanuni na miongozo mibovu iliyotengenezwa kwa makusudi na hivyo kuweka mazingira ya ushindani usiyo wa haki.


Kupata matukio yote kimkoa kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa bofya hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Madhara ya ubatili huu ni kuendelea kukosekana haki, Uhuru na demokrasia ya kweli katika ngazi ya chini zaidi na ya kwanza katika Utawala wa nchi, kunakomgusa kila mwananchi.

"SamiaSuluhuHassan, Serikali na Chama chako mmeshauriwa kwa kila njia lakini hamjaonyesha chembe ya kujali haki za wananchi kwenye hili.

"Watanzania wote tunapaswa kutambua wajibu wa kukomesha uporaji wa haki katika uchaguzi huu hatimaye uko mikononi mwetu kila mmoja kwa eneo lake.

"Kwa namna ileile mnavyokosa amani katika mchakato huu, wahusika wachakachuaji wanapaswa nao kuishi kwa hofu na kukosa amani hadi pale watakaposimama katika haki kwa wote.

"Wananchi wasilaumiwe pale watakapochukua hatua kudai haki zao za msingi kwenye hili."
ndhani yeye ndie anaeilawiti Demokrasia kwa muda mrefu sana tangu kwenye chaguzi za chama chake. Amekua akienda kinyume kwa muda mrefu sana 🐒
 
Tatizo watanzania wengi wanadhani Mbowe anapigania demokrasia kwa faida yake na wanaye.

Nchi hii imejaa wapumbavu tupu.
 
Endeleenia kuwachekea nyani shambani lazima wawaachie mabua baada ya kumaliza mahindi yote.
 
Mtaandika weeeh
Mlijua hili mmekomaza
Futeni uchaguzi kwanza kama ni mahakamani au chochote sio kuandikaaaaa weeee
Chukueni hatua.
Hata uchafuzi huu ungekuwa na manufaa kama ungetuika kama somo muhimu la kufanyia kazi kuelekea 2025.
Vinginevyo itakuwa ni kupoteza muda tu na ulalamishi ambao tayari hakuna lolote linalowezekana kuuzuia.
 
Hizi lugha zilitumika zaidi miaka ya 2010.
Demokrasia imebakwa..
Demokrasia imenajisiwa...
 
Back
Top Bottom