LGE2024 Mbowe alalamika kuhusu ubakaji wa Demokrasia kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Mbowe alalamika kuhusu ubakaji wa Demokrasia kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Magu alisingiziwa sana,

Kumbe Yale yalikuwa maamuzi ya chama.
 
Huyu naye aache kucheza na akili za Watz
Mnalilia vyeo mkiwa mmekaa kwenye viyoyozi.

Maria mama wa naniliii endelea kupiga spana tinakusoma sana hii kitu upinzani ni kupoteza mwelekeo. Ni uroho wa vyeo tuuuuuu
 
Mbowe mnafiki Sana. Wewe si ndio ulisema hutamlaumu mama na ukashupaza shingo. Leo unalalamika Nini?.
 
Back
Top Bottom