R Rabbon JF-Expert Member Joined Apr 16, 2022 Posts 21,625 Reaction score 33,688 Nov 9, 2024 #21 Magu alisingiziwa sana, Kumbe Yale yalikuwa maamuzi ya chama.
Pakawa JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 7,973 Reaction score 13,647 Nov 9, 2024 #22 Huyu naye aache kucheza na akili za Watz Mnalilia vyeo mkiwa mmekaa kwenye viyoyozi. Maria mama wa naniliii endelea kupiga spana tinakusoma sana hii kitu upinzani ni kupoteza mwelekeo. Ni uroho wa vyeo tuuuuuu
Huyu naye aache kucheza na akili za Watz Mnalilia vyeo mkiwa mmekaa kwenye viyoyozi. Maria mama wa naniliii endelea kupiga spana tinakusoma sana hii kitu upinzani ni kupoteza mwelekeo. Ni uroho wa vyeo tuuuuuu
econonist JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 20,189 Reaction score 29,663 Nov 9, 2024 #23 Mbowe mnafiki Sana. Wewe si ndio ulisema hutamlaumu mama na ukashupaza shingo. Leo unalalamika Nini?.
Mbowe mnafiki Sana. Wewe si ndio ulisema hutamlaumu mama na ukashupaza shingo. Leo unalalamika Nini?.