Mbowe alifanya kosa dhidi ya Universe sasa analipia

Yes mapenzi ya Mungu lazima yatimie wakati wote.


Kazi ya Mungu haina makosa
Ni kweli kabisa LIKUD yaani umenifanya mpaka niache kulaumu kuhusu kifo cha Dkt Magufuli na kuendelea kumshukuru Mungu kwa uwepo wa Dkt Samia, sisi kama Chawa wake tunasema mapenzi ya Mungu yatimie kuhusu 2025! Mungu kama ni mpango wake basi Dkt Samia ataendelea kupeperusha bendera yetu ya CCM!
 
Amen Amen. You are a blessed person
 
Universe inaweza kuzungumza katika telepath na ikamchagua Mtu.

Ikiwa 90% wanamtaka Lissu means universe imeshazungumza

Endapo wakimkataa ndo hapo utaona reaction ya universe.
Wewe muhaya una akili nyingi sana na upo kwenye hatua moja tu kuelewa ninacho kisema.

Kwa ufupi hoja yako ina sapoti hoja yangu?


Ni kweli kabisa universe inataka Lissu apite na lengo ni kumpunish Mbowe kwa sababu Mbowe aliingilia mchakato wa universe hiyo tarehe 07 Septemba 2017.


Lissu akipita itakuwa ni universe inamwambia Mbowe " I was right and you were wrong"
Na Mbowe atajutia uamuzi wake.

Umeelewa?
 
HUU UONGO UNA UTAPELI NDANI YAKE.
 
Ngoja nikufundishe kitu kimoja

Mwaka 2017 Magufuli alitaka kumuua Lissu

Ila Ikashindikana .

Lissu angekufa angefia madarakani na kuacha ubunge wake .

Ila universe ilipoanza kufanya Kazi yake ilimrudia magufuli na kufa akiwa madarakani.


Mbowe hausiki na universe au karma ya Lissu hadi pale atakapoamua kuiba kura
 
kosa la Mbowe ilikuwa ni kuingilia mchakato wa universe so he is punished accordingly
 
,[emoji23][emoji23][emoji706][emoji706] ni upumbavu gani huu umeandika
Eti walikua wana vibrate kwenye same freq..what rubbish. Only a fool will buy this.
 
,[emoji23][emoji23][emoji706][emoji706] ni upumbavu gani huu umeandika
Eti walikua wana vibrate kwenye same freq..what rubbish. Only a fool will buy this.
 
,[emoji23][emoji23][emoji706][emoji706] ni upumbavu gani huu umeandika
Eti walikua wana vibrate kwenye same freq..what rubbish. Only a fool will buy this.
Mjanja sana wewe jamaa ni mwanasaikolojia mzuri sana . You are just trying to play some psychological tricks with me.

Unatafaka nifunguke why and how?


Let me disappoint u . Sifunguki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…