Mbowe alifanya kosa dhidi ya Universe sasa analipia

Usijiexpose ujinga wako kiasi hicho, kifupi unatumia kichwa chako kama bakuli au kifuniko cha shingo na sio kuchanganua mambo

Uhai wa mwanadamu uko chini ya mwenyezi Mungu na sio mwanadamu, Yes, hata kama Mbowe asingekuwepo Mungu angemwinua mwingine akaplay role aliyoifanya Mbowe as long as siku zake hazikufika, maharani jiwe yuko wapi? Alikosa msaada gani mpaka akakutwa na mauti?

Hii labia ya kumtukuza mwanadamu na sio Mungu sijui mnaitoa wapi?

Punguza uchawa na mahaba yaliyopitiliza, alafu Mungu wetu si Mungu wa rushwa na hili TAL analifahamu sana, maana anajua aliyemwokoa.

Sasa ulitaka madudu ya mwenyekiti wenu wa mchongo yasiwekwe hadharani? Kwa nini unaonekana kumpenda FAM kwa wakati huu nakati hukuwahi na hamkuwahi kumsifia? Kwa nini mnamwogopa TAL?
 
Upo sahihi kabisa mkuu 👏👏👏
 
Sababu tu Mjomba wako alikusomesha, ila Mjomba ni Jambazi.

Et hutakiwi kumuambia "Mjomba acha UJAMBAZI".

Kastori Kako kakipuuzi ulikokaweka bado kanabakia kua kakipuuzi.


Kwamba Mbowe ndio alimponyesha LISSU??.

Kichwan kwako una matope ???
upo sahihi sana mkuu..big up🙏🙏🏻🙏🏻
 
Upo sahihi kabisa mkuu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Umeandika upumbavu na ujinga wa hali ya juu mno na bado ukarudi ku quote mistari ya biblia kuzihirisha wewe ni mjinga na mpumbavu
 
Mbona Sijaelwa Title na Context na Contents haviendanj
 
Universe haifanyi Kazi hivyo.

Universe na Lissu IPO hivi

Aliyetaka kumuua Lissu is no more .

Kuhusu Logistic hata Mbowe asingekuepo bado Lissu angepona au kusaidiwa na watu wengine.
Na Hiyo ndo Nguvu ya Universe..
You can never Change fate hata Ukienda Future ukajiona Kwamba wewe ndo utamsaidia ukataka Kujitoa kumsaidia utajikuta unamsaidia kwa lazima bila Kujua yaani Kule Kutokumsaidia ndo kutakuwa Msaada wake..

Every Events in Universe is Intact and Can never be change what is Written lazima Kitimie..
 
  • Wewe ni mjinga
  • Hivi katiba ya CDM inasemaje?
  • Wangwe naeje?
  • Zitto naeje?

Acheni ushamba juu ya katiba - FAM siyo Mungu
 
Shida sio kupandisha nyota 🤣🤣..
Unayo hiyo nyota kwanza???🤣🤣🤣
Siamini katika mambo ya nyota.
Asante kwa hadithi murua.
 
Umeandika upumbavu na ujinga wa hali ya juu mno na bado ukarudi ku quote mistari ya biblia kuzihirisha wewe ni mjinga na mpumbavu
Duh mbona ame eleweka vizuri sana na wewe ndio unaonekana mpumbavu kwa sababu huna hoja mwenzako katoa hoja
 
Fafanua mkuu tujifunze
 
Shida sio kupandisha nyota 🤣🤣..
Unayo hiyo nyota kwanza???🤣🤣🤣
Siamini katika mambo ya nyota.
Asante kwa hadithi murua.
Ohooo
 
Duh mbona ame eleweka vizuri sana na wewe ndio unaonekana mpumbavu kwa sababu huna hoja mwenzako katoa hoja
Achana nae huyo kilaza ni stress ndio zinamsumbua
 
Shida sio kupandisha nyota 🤣🤣..
Unayo hiyo nyota kwanza???🤣🤣🤣
Siamini katika mambo ya nyota.
Asante kwa hadithi murua.
Ohooooo
 
Umeandika upumbavu na ujinga wa hali ya juu mno na bado ukarudi ku quote mistari ya biblia kuzihirisha wewe ni mjinga na mpumbavu
Sawa upo sahihi kabisa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…