Mbowe alifanya mission zote za ugaidi Hai? Hakukuwa na ofisi za uratibu sehemu nyingine?

Mbowe alifanya mission zote za ugaidi Hai? Hakukuwa na ofisi za uratibu sehemu nyingine?

Fundi Madirisha

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
184
Reaction score
988
Yaani nchi hii tumefikia level ya juu sana ya uonevu. Hivi kweli Mbowe huyu aliyeshitakiwa Dar es Salaam, inaingia akilini kweli afanyie mipango yote Wilayani Hai tukio la nchi nzima bila kua na ofisi zavuratibu mkoa wowote kati ya ile iliyotajwa kama vile Moro, Dar, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro na Mwanza?
Hivi Nani unapotoa hukumu za hovyo huku ukweli unao, utaishi milele wewe?

Tukio la nchi nzima afanye yeye na Makomandoo wake asihusushe kiongozi mwingine wa CHADEMA amsaidie kuratibu? Asimhusishe Mnyika wala Kigaila au Salimu Mwalimu? Huyu Mbowe afanye kila kitu pekee yake tuu?

Polisi nchi hii mbona mnawafanya watu wajinga sana? Huu unyanyasaji kweli CHADEMA kwa idadi yao milion 10 nchi nzima wakiamua kusema hapana wakatoka nje mtawafunga wote? Hayo magereza mtayatoa wapi?

Viongozi wa CHADEMA mna jambo la kufanya msikalie huu katili kimya. Kila kitu kina mwanzo na mwisho. Mna viongozi wa kanda,Mikoa ,Wilaya mpaka matawi, mtandao huu una haja ya kuamua kukataa dhuluma hii.
 
Yaani nchi hii tumefikia level ya juu sana ya uonevu. Hivi kweli Mbowe huyu aliyeshitakiwa Dar es Salaam, inaingia akilini kweli afanyie mipango yote Wilayani Hai tukio la nchi nzima bila kua na ofisi zavuratibu mkoa wowote kati ya ile iliyotajwa kama vile Moro, Dar, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro na Mwanza?
Hivi Nani unapotoa hukumu za hovyo huku ukweli unao, utaishi milele wewe?

Tukio la nchi nzima afanye yeye na Makomandoo wake asihusushe kiongozi mwingine wa CHADEMA amsaidie kuratibu? Asimhusishe Mnyika wala Kigaila au Salimu Mwalimu? Huyu Mbowe afanye kila kitu pekee yake tuu?

Polisi nchi hii mbona mnawafanya watu wajinga sana? Huu unyanyasaji kweli CHADEMA kwa idadi yao milion 10 nchi nzima wakiamua kusema hapana wakatoka nje mtawafunga wote? Hayo magereza mtayatoa wapi?

Viongozi wa CHADEMA mna jambo la kufanya msikalie huu katili kimya. Kila kitu kina mwanzo na mwisho. Mna viongozi wa kanda,Mikoa ,Wilaya mpaka matawi, mtandao huu una haja ya kuamua kukataa dhuluma hii.
Hawa watu sijui wanamuamini mungu yupi na ijumaa mama anaenda kuswali huku vitabu vya dini vinasema usimshuhudie jirani yako uongo.
 
Hawa watu sijui wanamuamini mungu yupi na ijumaa mama anaenda kuswali huku vitabu vya dini vinasema usimshuhudie jirani yako uongo.
Umeadika kwa machungu sana. Lakini ishu nzima ya hawa wanaosingizia kesi imeandikwa kwa ufasaha kwenye Luka 3:14.
 
Yaani nchi hii tumefikia level ya juu sana ya uonevu. Hivi kweli Mbowe huyu aliyeshitakiwa Dar es Salaam, inaingia akilini kweli afanyie mipango yote Wilayani Hai tukio la nchi nzima bila kua na ofisi zavuratibu mkoa wowote kati ya ile iliyotajwa kama vile Moro, Dar, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro na Mwanza?
Hivi Nani unapotoa hukumu za hovyo huku ukweli unao, utaishi milele wewe?

Tukio la nchi nzima afanye yeye na Makomandoo wake asihusushe kiongozi mwingine wa CHADEMA amsaidie kuratibu? Asimhusishe Mnyika wala Kigaila au Salimu Mwalimu? Huyu Mbowe afanye kila kitu pekee yake tuu?

Polisi nchi hii mbona mnawafanya watu wajinga sana? Huu unyanyasaji kweli CHADEMA kwa idadi yao milion 10 nchi nzima wakiamua kusema hapana wakatoka nje mtawafunga wote? Hayo magereza mtayatoa wapi?

Viongozi wa CHADEMA mna jambo la kufanya msikalie huu katili kimya. Kila kitu kina mwanzo na mwisho. Mna viongozi wa kanda,Mikoa ,Wilaya mpaka matawi, mtandao huu una haja ya kuamua kukataa dhuluma hii.
wadanganuye waingie barabarani waqvunjwe miguu viongozi wao wapo ulaya wanaagiza tu sasa wewe uliyepo nchini jaribu uone uvunjwe kiuno halafu hakuna hata kiongozi wa chadema atakujuwa
 
wadanganuye waingie barabarani waqvunjwe miguu viongozi wao wapo ulaya wanaagiza tu sasa wewe uliyepo nchini jaribu uone uvunjwe kiuno halafu hakuna hata kiongozi wa chadema atakujuwa
Muda ukifika wataandamana tu, bashir wa Sudan alitisha ameondolewa na maandamano ya wanawake tu
 
Wewe umesomea ugaidi?
Wewe ulisoma nn kama siyo ujinga na uhayawani wako uliokubuhu!? Mtu kauliza swali huna cha kuchangia kaa kimya.
Unatia aibu mtu mzima kudakia mambo juu juu kama mbuzi wa halbadir. Haipendezi.
Chama kisikufanye uwe kama mnyama
 
wadanganuye waingie barabarani waqvunjwe miguu viongozi wao wapo ulaya wanaagiza tu sasa wewe uliyepo nchini jaribu uone uvunjwe kiuno halafu hakuna hata kiongozi wa chadema atakujuwa
Ulisoma chuo gani wewe. Ukahitimu mwaka gani? Ingekuwa UDSM miaka niliyosoma mm ungeshakufa kibudu kwa kauli hizi!!!!
 
Moto wa kutekeza pori huanza kama cheche. Cheche ilikuwa mgambo wa redbrigade ikazimwa. Nyingine ni hii ya ubunifu wa kuwa andika kibarua makomandoo wa JWTZ walioko mtaani kwa sababu mbalimbali.
 
E
Yaani nchi hii tumefikia level ya juu sana ya uonevu. Hivi kweli Mbowe huyu aliyeshitakiwa Dar es Salaam, inaingia akilini kweli afanyie mipango yote Wilayani Hai tukio la nchi nzima bila kua na ofisi zavuratibu mkoa wowote kati ya ile iliyotajwa kama vile Moro, Dar, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro na Mwanza?
Hivi Nani unapotoa hukumu za hovyo huku ukweli unao, utaishi milele wewe?

Tukio la nchi nzima afanye yeye na Makomandoo wake asihusushe kiongozi mwingine wa CHADEMA amsaidie kuratibu? Asimhusishe Mnyika wala Kigaila au Salimu Mwalimu? Huyu Mbowe afanye kila kitu pekee yake tuu?

Polisi nchi hii mbona mnawafanya watu wajinga sana? Huu unyanyasaji kweli CHADEMA kwa idadi yao milion 10 nchi nzima wakiamua kusema hapana wakatoka nje mtawafunga wote? Hayo magereza mtayatoa wapi?

Viongozi wa CHADEMA mna jambo la kufanya msikalie huu katili kimya. Kila kitu kina mwanzo na mwisho. Mna viongozi wa kanda,Mikoa ,Wilaya mpaka matawi, mtandao huu una haja ya kuamua kukataa dhuluma hii
Embu kama wew mwanaume andamana, acha mipasho kama demu, afu kitakachokukuta tutawasimulia wajukuu zako 😂😂
 
Back
Top Bottom