johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Uzuri wa huu uchaguzi wa Chadema wagombea wanafunguka mno
Mbowe ni kama alikuwa anatishiwa hivi kwe shughuli zake za ujasiriamali Ili aitii CCM.
Nadhani CCM ilijua huyu ni Mfanyabiashara anaangalia Faida iko wapi๐
Lisu anadai Haki yake ya kuishi ilitaka kuporwa kama si Mungu wa Mbinguni kuingilia Kati na kumponya
Nadhani CCM ulimuona Lisu ni Mwiba ๐ผ
Sasa chaguo ni lako
Sisi CCM tunarekodi Kila sentenso ๐
Mbowe ni kama alikuwa anatishiwa hivi kwe shughuli zake za ujasiriamali Ili aitii CCM.
Nadhani CCM ilijua huyu ni Mfanyabiashara anaangalia Faida iko wapi๐
Lisu anadai Haki yake ya kuishi ilitaka kuporwa kama si Mungu wa Mbinguni kuingilia Kati na kumponya
Nadhani CCM ulimuona Lisu ni Mwiba ๐ผ
Sasa chaguo ni lako
Sisi CCM tunarekodi Kila sentenso ๐