Mbowe aliharibiwa Biashara zake na kuahidiwa atarejeshewa akiitii CCM, Tundu Lisu alitunguliwa marisasi Mungu akamponya. Chaguo ni Lako Chadema ni 1

Mbowe aliharibiwa Biashara zake na kuahidiwa atarejeshewa akiitii CCM, Tundu Lisu alitunguliwa marisasi Mungu akamponya. Chaguo ni Lako Chadema ni 1

Uzuri wa huu uchaguzi wa Chadema wagombea wanafunguka mno

Mbowe ni kama alikuwa anatishiwa hivi kwe shughuli zake za ujasiriamali Ili aitii CCM.
Nadhani CCM ilijua huyu ni Mfanyabiashara anaangalia Faida iko wapiπŸ˜€

Lisu anadai Haki yake ya kuishi ilitaka kuporwa kama si Mungu wa Mbinguni kuingilia Kati na kumponya
Nadhani CCM ulimuona Lisu ni Mwiba 🐼

Sasa chaguo ni lako

Sisi CCM tunarekodi Kila sentenso πŸ˜‚
July form za wagombea urais ccm mtatoa ngapi?
 
Uchaguzi ufike tu, bado kama siku kumi, ni nyingi mno joto la uchaguzi lpo juu sana, uchaguzi upite maisha yaendelee
 
Mbowe hana njaa kwamba siasa ni Alfa na omega kama ropo ropo wenu wengine
Sijawahi kusikia kambi ya LISU waliimba hilo neno Alfa na Omega , isipokuwa vijana wake akina Yerriko Nyerere, Mustapha Mmary na wengine ndo wanasema Mbowe na Siasa za CHADEMA ni Alfa na Omega.

Hivyo, unapokuja humu jamvini usiwe unajizima data. Mbowe anahitaji sana Siasa za kuwa MWENYEKITI wa CHADEMA maana ndiko kulikokuwa na ulaji wake miaka nenda rudi.

KUMBUKA ana miaka 21 ya uenyekiti na anautaka tena. Maana yake katika kufanya kitu kinaitwa Succession Plan alichemka kwa makusudi.
 
Nakubaliana na wewe mkuu. Mbowe ni wanasiasa aina ya kina Mrema. Anafanya kazi ya kuhakikisha hakuna chama cha upinzani kinashika madaraka.

Na pili anapiga hela ndefu kupitia siasa uchwara ambazo zimeasisiwa na mkwe wake.

Katika vitu ambavyo dola zote duniani wanatumia pesa nyingi kwa kiwango kisicho na idadi ni kulinda madaraka yao . Kumpata Rais kama George Weah kwa Afrika ni mara chache sana .
Rais anayekunali kushindwa na kupumzika bila kung'ang'ania madaraka ni zawadi kutoka kwa Mungu. Huku hata wanaoingia kwa bahati wanafanya njama za kujibinafsia nchi na familia zao .

Tulisema sana siku nyingi kuwa Mbowe ni mtu wa System watu wakatutukana sana.

Hata baadhi ya watumishi wa dini wengi ni watu wa mifumo ya kulinda maslahi ya watawala na chama Tawala.

Gwmnya ,
Gwaima ,
Shkh mkooo
Shee wa mkoua wa Gasalam
,Polyster Pangou
Askovu Mali Souser n.k.
 
Back
Top Bottom