Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kitendo cha kufanya sarakasi za kisiasa na kumfanya Lowassa mgombea mwaka 2015 ni laana ambayo haitamuacha Mbowe.
Watu tuliyoa uhai kwa ajili ya chama lakini tamaa ya pesa ikamfanya akaribishe uchafu
Tuhuma lukuki za kifisadi kutafuna michango ya makamanda hii nayo ni laana.
Hii laana haitamuacha na anakwenda kumaliza siasa vibaya.
Watu tuliyoa uhai kwa ajili ya chama lakini tamaa ya pesa ikamfanya akaribishe uchafu
Tuhuma lukuki za kifisadi kutafuna michango ya makamanda hii nayo ni laana.
Hii laana haitamuacha na anakwenda kumaliza siasa vibaya.