johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kama Intelejensia ya CCM isingeingilia Kati Halima Mdee ndiye angekuwa Mwenyekiti wa Chadema na Lisu angeendelea na umakamu wake na uchaguzi ungefanyika 2024 siyo 2025
Mzee Mziray mkongwe wa Chadema anasema ndio sababu Mbowe alimshawishi Sana Halima Mdee aachie Ubunge wa shujaa Magufuli Ili aje kuongoza Chama atakapostaafu lakini Halima Mdee alikataa katakata
Mziray amesema ni kweli kabisa Mbowe hana Mtu Mwingine mtiifu kwake kumuachia Chama Kwa sasa zaidi ya Jon Mrema ambaye kisiasa siyo maarufu
Aidha Mbowe anamhofia Mnyika vile vile Kwa sababu za kimadhehebu ila ni Mtu wake wa karibu
Tuko Dodoma tunasubiri lile Jambo 😄😄
Mzee Mziray mkongwe wa Chadema anasema ndio sababu Mbowe alimshawishi Sana Halima Mdee aachie Ubunge wa shujaa Magufuli Ili aje kuongoza Chama atakapostaafu lakini Halima Mdee alikataa katakata
Mziray amesema ni kweli kabisa Mbowe hana Mtu Mwingine mtiifu kwake kumuachia Chama Kwa sasa zaidi ya Jon Mrema ambaye kisiasa siyo maarufu
Aidha Mbowe anamhofia Mnyika vile vile Kwa sababu za kimadhehebu ila ni Mtu wake wa karibu
Tuko Dodoma tunasubiri lile Jambo 😄😄