Mbowe alipiga bunge tatu bila akiwa ughaibuni

Mbowe alipiga bunge tatu bila akiwa ughaibuni

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Hotuba na maelekezo ya Mbowe yamebaki kuwa mchango pekee ulio wa wazi katika suala la bandari. Hakuna kiongozi yeyote wa chama chochote au Mbunge ambaye amefafanua kwa hoja issue ya mkataba na DP world.

Naamini sasa Watanzania si lazima tuende Bungeni ndipo tuweze kulitetea Taifa; popote tulipo tunaweza kulisimamia Taifa.

Kwamba watasikia siyo kazi yetu cha msingi kusema ubaki kwenye historia ya nchi.

Nchi umewekeza more than Trilion kwenye bandari then tunakuja kumkabidhi mtu asimamie uondoshaji na makontena tena akiwatumia wananchi wale wale ambao tuliona awapo compitent?

Mwisho nimshukuru Mdee amepambana na amesikika
 
Hotuba na maelekezo ya Mhe. Mbowe yamebaki kuwa mchango pekee ulio wa wazi katika suala la bandari. Hakuna kiongozi yeyote wa chama chochote au Mbunge ambaye amefafanua kwa hoja issue ya mkataba na DP world.

Naamini sasa Watanzania si lazima tuende Bungeni ndipo tuweze kulitetea Taifa; popote tulipo tunaweza kulisimamia Taifa.

Kwamba watasikia siyo kazi yetu cha msingi kusema ubaki kwenye historia ya nchi.

Nchi umewekeza more than Trilion kwenye bandari then tunakuja kumkabidhi mtu asimamie uondoshaji na makontena tena akiwatumia wananchi wale wale ambao tuliona awapo compitent?

Mwisho nimshukuru Mdee amepambana na amesikika
Watanganyika Tuanze "hujuma" kwa kila kitu kutetea nchi yetu
 
Hotuba na maelekezo ya Mhe. Mbowe yamebaki kuwa mchango pekee ulio wa wazi katika suala la bandari. Hakuna kiongozi yeyote wa chama chochote au Mbunge ambaye amefafanua kwa hoja issue ya mkataba na DP world.

Naamini sasa Watanzania si lazima tuende Bungeni ndipo tuweze kulitetea Taifa; popote tulipo tunaweza kulisimamia Taifa.

Kwamba watasikia siyo kazi yetu cha msingi kusema ubaki kwenye historia ya nchi.

Nchi umewekeza more than Trilion kwenye bandari then tunakuja kumkabidhi mtu asimamie uondoshaji na makontena tena akiwatumia wananchi wale wale ambao tuliona awapo compitent?

Mwisho nimshukuru Mdee amepambana na amesikika
Na hivyo kuonyesha kua tatitzo sio wafanyakazi wa bandari (pekee), tatizo hasa ni usimamizi mbovu wa bandari.
Usimamizi ( Raisi -> Waziri -> wizara -> TPA )
 
Hotuba na maelekezo ya Mbowe yamebaki kuwa mchango pekee ulio wa wazi katika suala la bandari. Hakuna kiongozi yeyote wa chama chochote au Mbunge ambaye amefafanua kwa hoja issue ya mkataba na DP world.

Naamini sasa Watanzania si lazima tuende Bungeni ndipo tuweze kulitetea Taifa; popote tulipo tunaweza kulisimamia Taifa.

Kwamba watasikia siyo kazi yetu cha msingi kusema ubaki kwenye historia ya nchi.

Nchi umewekeza more than Trilion kwenye bandari then tunakuja kumkabidhi mtu asimamie uondoshaji na makontena tena akiwatumia wananchi wale wale ambao tuliona awapo compitent?

Mwisho nimshukuru Mdee amepambana na amesikika
Nchi umewekeza more than Trilion kwenye bandari then tunakuja kumkabidhi mtu asimamie uondoshaji na makontena tena akiwatumia wananchi wale wale ambao tuliona awapo compitent?[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
akina nani hao
Kwa suala la bandari kukosa ufanisi ni:

  • Mkurungezi wa Bandari (na wasimamizi chini yake),
  • Viongozi wa Wizara husika wakiongozwq na Waziri wao,
  • na mwishowe ni Raisi.

Wote hawa wameshindwa kutumia rasilimali watu, fedha, na bandari kuleta ufanisi - Hawafai kuendelea kuwa katika nafasi hizo.
 
Back
Top Bottom