johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mimeona niwakumbushe ndugu zangu Wahenga huko Chadema kwamba Tundu Lisu alishakuwepo Chadema kabla hata hajakabidhiwa KADI
Na ukiangalia kifalsafa Tundu Lisu na Mzee Marando ndio walileta Mageuzi makubwa Chadema kabla Mbowe hajamleta aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Ulinzi na Foreign Mzee Lowasa 2015 Kugombea Urais wa JMT ambaye kimsingi Ndiye aliwapa Ubunge vijana mashuhuri kisha akawakabidhi kwa Shujaa Magufuli
Mlale Unino 😂
Kwako mhenga mrangi Ova ukiwa Ufipa st
Na ukiangalia kifalsafa Tundu Lisu na Mzee Marando ndio walileta Mageuzi makubwa Chadema kabla Mbowe hajamleta aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Ulinzi na Foreign Mzee Lowasa 2015 Kugombea Urais wa JMT ambaye kimsingi Ndiye aliwapa Ubunge vijana mashuhuri kisha akawakabidhi kwa Shujaa Magufuli
Mlale Unino 😂
Kwako mhenga mrangi Ova ukiwa Ufipa st