Mbowe ameijenga CHADEMA kwa jasho Damu tangu ujana, ni Mali yake hawezi kuichia kirahisi Bora isambaratike mikononi mwake

Mbowe ameijenga CHADEMA kwa jasho Damu tangu ujana, ni Mali yake hawezi kuichia kirahisi Bora isambaratike mikononi mwake

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,856
Reaction score
2,417
Hili ndilo naloliano kwa Mbowe kuachilia kitu ambacho umekipigania kwa jasho na Damu tangu ujana ni ngumu
Ni Bora aimiliki Kama kampuni yake BINAFSI ambayo mkurugenzi wake ni wa maisha

Kwa miaka zaidi ya 20 Hakuona sababu ya kuandaa viongozi mwingine kwani bado gharama alizozitumia kwenye chama hajarudishiwa.

Aliwahi kutamka mara kwa Mara miaka ya 90 alitoa zaidi ya million moja kwa ajili ya chama kwa enzi hizo
Mangi atafanyaje kazi za hasara alitegemea Chadema ingeingia madarakani ingengukuwa rahisi kurudisha Gharama zake na kupata faida zaidi

Unampinga mkiti ambaye ameingia mfukoni akalipia bill mbali mbali za chama na pengine Kuna wakati unakupa fedha za kula ukiwa karibu naye

Baada ya kurudisha Gharama zake atawaachia chama na ataruhusu katiba ibane viongozi mihula ya uongozi

Inasikitisha Sana lakini hakuna namna pale tunaporuhusu kutegemea MTU badala ya mifumo ya chama
 
Hii poat inasaidia vipi kushusha bei ya Petroli ilio panda? We mjinga sikiliza Mbowe hakusanyi kodi, mnashindwa ku dili na wakusanya kodi wanao tawanya pesa na wazazi wenu wakiishi kwa dhiki kule kijijini mnakomaa na Mbowe? Mbowe hakusanyi kodi.

Wakenya huwezi sikia wana mnanga Raila Odinga kwa sababu hakusanyi kodi.
 
Kwan CCM katika hili wao wanasemaje wakuu..
 
Hii poat inasaidia vipi kushusha bei ya Petroli ilio panda ? We mjinga sikiliza Mbowe hakusanyi kodi, mnashindwa ku dili na wakusanya kodi wanao tawanya pesa na wazazi wenu wakiishi kwa dhiki kule kijijini mnakomaa na Mbowe? Mbowe hakusanyi kodi.

Wakenya huwezi sikia wana mnanga Raila Odinga kwa sababu hakusanyi kodi.
ungetulia usome uelewe usingeonyesha kiwango kikubwa hivi cha ujinga

Na hili ni zao la vijana wengi wa Cdm waliondaliwa na Mfumo wa Mbowe , wanaacha hoja wanakimbilia vihoja vya hovyo

Unajua uhosiano wa kuwa na viongozi Bora wa vyama vya siasa na maendeleo ya nchi ???
 
ungetulia usome uelewe usingeonyesha kiwango kikubwa hivi cha ujinga

Na hili ni zao la vijana wengi wa Cdm waliondaliwa na Mfumo wa Mbowe , wanaacha hoja wanakimbilia vihoja vya hovyo

Unajua uhosiano wa kuwa na viongozi Bora wa vyama vya siasa na maendeleo ya nchi ???
We sina ujinga kama wewe, wewe endeleeni kuigiza, Mtu kama wewe nina uhakoka ni choka mbaya plus wazazi wako kule kijijini. Sasa endelea na tu na Stories za Mbowe kana kwamba anakusanya kodi.
 
Wakenya wana dili na wakusanya kodi wa Kenya, Bongo kwa mazezeta tuko Busy na Mbowe mara Lisu, hawa hawa hakusanyi kodi nyie wajinga na na mtu kama wewe huenda unatumika tu kama Kondomu.
Unajua hao waliokusanya Kodi au hao viongozi wabovu walioko madarakani walitoka na nini?

Sisi tunatamani kuona vyama mbadala imara ambavyo hata wakipewa madaraka hawatarudia makosa ya wenzao kwa sababu ya mifumo imara na maandalizi mazuri ndani ya vyama vyao.

Sio Mfumo MTU mmoja

Siku nyingine ukichangia mada jitahidi uwe na akili za kufikiria sio Kama za kuku za kuona Leo tu
 
We sina ujinga kama wewe, wewe endeleeni kuigiza, Mtu kama wewe nina uhakoka ni choka mbaya plus wazazi wako kule kijijini. Sasa endelea na tu na Stories za Mbowe kana kwamba anakusanya kodi.
Ujinga inaonyesha na Uwezo wako mdogo umekaririshwa ukasanyaji wa Kodi tu
Unajua uhosiano wa Viongozi Bora na maendeleo ya wananchi ???
 
ungetulia usome uelewe usingeonyesha kiwango kikubwa hivi cha ujinga

Na hili ni zao la vijana wengi wa Cdm waliondaliwa na Mfumo wa Mbowe , wanaacha hoja wanakimbilia vihoja vya hovyo

Unajua uhosiano wa kuwa na viongozi Bora wa vyama vya siasa na maendeleo ya nchi ???
We tulia ndo maana ccm imejaza vijana wavivu wasio na uwezo wa kujua kesho yao maombaomba ndo mibwabwa mingi imejificha huko na ndo maana waarabu wate ni ccm kwakuwa kuna mibwabwa ya kuokota huko.

Hivi jinsi nchi hii ilivyo na matatizo mengi umeona la kuongelea ni Mbowe yaani huna tofauti na yule DC aliyeacha ku solve matatizo lukuki ktk wilaya yake anaenda Guest kupiga chabo na kutoka na jawabu kuwa watu wasizagamuane.
 
Hili ndilo naloliano kwa Mbowe kuachilia kitu ambacho umekipigania kwa jasho na Damu tangu ujana ni ngumu
Ni Bora aimiliki Kama kampuni yake BINAFSI ambayo mkurugenzi wake ni wa maisha

Kwa miaka zaidi ya 20 Hakuona sababu ya kuandaa viongozi mwingine kwani bado gharama alizozitumia kwenye chama hajarudishiwa.

Aliwahi kutamka mara kwa Mara miaka ya 90 alitoa zaidi ya million moja kwa ajili ya chama kwa enzi hizo
Mangi atafanyaje kazi za hasara alitegemea Chadema ingeingia madarakani ingengukuwa rahisi kurudisha Gharama zake na kupata faida zaidi

Unampinga mkiti ambaye ameingia mfukoni akalipia bill mbali mbali za chama na pengine Kuna wakati unakupa fedha za kula ukiwa karibu naye

Baada ya kurudisha Gharama zake atawaachia chama na ataruhusu katiba ibane viongozi mihula ya uongozi

Inasikitisha Sana lakini hakuna namna pale tunaporuhusu kutegemea MTU badala ya mifumo ya chama
Chadema siyo mtu ni Taasisi tutengeneze succession plan kama tunakitakia nia njema.Alikianzisha Mtei akawaachia wengine sembuse Mbowe.
 
Mashujaa waliotoka damu kwajili ya chadema ni Dr. SLAA na Mkeo pamoja na Lisu hawa ndio walio ipigania CDM kwa jasho na damu. Hao ndio wana takiwa kujengewa sanamu hapo makau makuu ya chama.
 
Binafsi nashauri walio jirani na Mbowe wamshauri ampumzike uenyekiti wawaachie na wengine wasukume alipoishia.
 
Walio jirani naye wengi ni machawa wake mkuu
Hawawezi kumpa huo ushauri

Binafsi nashauri walio jirani na Mbowe wamshauri ampumzike uenyekiti wawaachie na wengine wasukume alipoishia.
 
We tulia ndo maana ccm imejaza vijana wavivu wasio na uwezo wa kujua kesho yao maombaomba ndo mibwabwa mingi imejificha huko na ndo maana waarabu wate ni ccm kwakuwa kuna mibwabwa ya kuokota huko.

Hivi jinsi nchi hii ilivyo na matatizo mengi umeona la kuongelea ni Mbowe yaani huna tofauti na yule DC aliyeacha ku solve matatizo lukuki ktk wilaya yake anaenda Guest kupiga chabo na kutoka na jawabu kuwa watu wasizagamuane.
Unazidi kudhirishirisha kiwango kidogo Cha upeo na ujinga ulionao

Na pengine ni miongoni mwa machawa wa Mbowe ambao mnashirikiana kuua Cdm kwa ukiritimba wenu

Mada ni Mfumo mbovu wa Cdm umempa nafasi Mbowe kuwa mmiliki na kiongozi wa maisha kwenye Chama Cha siasa kinijinadi kuleta mabadiliko ya Ccm

Tunataka Mfumo imara wa vyama vya upinzani kuliko Ccm
Saa ulivyo na akili ya kijinga Unataka kulinganisha Cdm na Ccm
Ambayo wananchi wameichoka
 
Chadema siyo mtu ni Taasisi tutengeneze succession plan kama tunakitakia nia njema.Alikianzisha Mtei akawaachia wengine sembuse Mbowe.
Machawa wa Mbowe wanaaamini Mbowe ni zaidi ya Taasisi
 
Mleta mada Huna akili kabisa

Mbowe hajaandaa viongozi , Bavicha unaifahamu vizuri au unaropoka
 
Chadema jengeni Chama Taasisi kama ilivyokuwa na siyo mtu itawagharimu mbeleni. badilisheni katiba na mifumo iweze kuakisi hivyo,mtu hufa lakini siyo taasisi.
 
Back
Top Bottom