Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwa tafsiri ya haraka hicho ni chama chake....au sio?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo wako wa akili ungekuwa vizuri ungesoma mada uelewe kwanzaMleta mada Huna akili kabisa
Mbowe hajaandaa viongozi , Bavicha unaifahamu vizuri au unaropoka
Haujui lolote kuhusu chademaUwezo wako wa akili ungekuwa vizuri ungesoma mada uelewe kwanza
Kama ameandaa viongozi mbona ana hofu ya kuachilia uongozi kwa vijana aliowandaa
Chama kina miaka 30 bado anashindwa kuamini vijana waongoze chama