Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,947
- 7,939
Matatizo mengi na madhaifu ya CHADEMA Katika hatua mbalimbali za uchaguzi yanatokana na kukosekana uongozi WA Karibu wa mwenyekiti Mbowe.
Kukatwa kwa wagombea wengi wa CDM kwa sababu kadha wa kadha na kukosekana kwa nidhamu ya hotuba za mgombea uraisi Tundu Lissu ni baadhi ya kasoro ambazo Mwenyekiti angaliweza kuzipunguza.
Lisssu ana mihemko na hana timing nzuri. Kuna mambo huzungumzwa last week ya kampeni na mengine huzungumzwa mwanzoni.
Lissu amekiri kuwa Mbowe amebanwa HAI hivyo hawezi kusaidia maeneo Mengine.CCM hata mimi nisiye gwiji wa siasa niliwaza hivyo kwamba Mbowe afanyiwe siasa za kihuni Ili ashindwe kutoka Hai na niliandika hapa watu wa chadema wakanijia juuu.
Lissu hakupaswa kupita madukani magengeni na kwingineko. Lissu hakupaswa kusuguana na polisi Kiluvya. Alipaswa kuonesha ukomavu atulie
Kukatwa kwa wagombea wengi wa CDM kwa sababu kadha wa kadha na kukosekana kwa nidhamu ya hotuba za mgombea uraisi Tundu Lissu ni baadhi ya kasoro ambazo Mwenyekiti angaliweza kuzipunguza.
Lisssu ana mihemko na hana timing nzuri. Kuna mambo huzungumzwa last week ya kampeni na mengine huzungumzwa mwanzoni.
Lissu amekiri kuwa Mbowe amebanwa HAI hivyo hawezi kusaidia maeneo Mengine.CCM hata mimi nisiye gwiji wa siasa niliwaza hivyo kwamba Mbowe afanyiwe siasa za kihuni Ili ashindwe kutoka Hai na niliandika hapa watu wa chadema wakanijia juuu.
Lissu hakupaswa kupita madukani magengeni na kwingineko. Lissu hakupaswa kusuguana na polisi Kiluvya. Alipaswa kuonesha ukomavu atulie