Uchaguzi 2020 Mbowe amekosea kugombea Ubunge

Huyo Lowassa hata kuongea alikuwa hajui sijui huo u smart wake umeutoa wapi?!
Alikuwa mastermind mzuri na alikuwa anaaminika na watu makini kuanzia CCM hadi upinzani lakini huyu kibara haaminiki pia ameonyesha wazi anatumiwa na mabeberu wakina Amsterdam. Kama hujui watz hawapendi kabisa utumiwe na mabeberu! Ataisoma namba.
 
Meko akipasuliwa na Salum Mwalimu huko Kusini mwa nchi.

Your browser is not able to display this video.
 
Halafu wafuasi wa Lissu wanampa sifa ya akili kubwa. Mbowe kamuachia chama akiongoze katika harakati za kutafuta dola kama makamu na mgombea urais. N bahati mbaya Lissu kafeli vibaya, kwa maana hiyo hana uwezo wa uongoxi.Kinachofuata ni Mbowe kumtimua huyu Lissu maana kashindwa.

kuwavusha makamanda.
 
CCM chama cha kigaidi ni genge la waoga na walaji tutatumia nguvu za umma hadi tukidondoshe.
 
Jeshi la Polisi ndilo linakuhakikishia usalama wako wa maisha na mali yako. Jeshi la Polisi, chombo cha Serikali inayotuhumiwa na Lissu kupanga jaribio la kumuua, leo hii anatembea mitaani. Nani mpuuzi?
 

Bila ushabiki nadhani tume imetumia mianya iliyoachwa wazi na CHADEMA kuwaenguwa watu wake. Unapokuwa upinzani na unajuwa hakli inaminywa inatakiwa ujitayarishe kuilinda hiyo haki. Hii ina maana wagombea wanatakiwa kufuata sheria na taratibu "to the letter". Usipofanya hivyo vikosa vidogo saana vinaweza kukufanya ukaenguliwa. Kwa mfano kwa nini CHADEMA isiwe na mtu ambaye atahakii fomu zote zimejazwa inavyotakiwa ikiwa ni pamoja na kuangalia ukamilifu na ukweli kwenye fomu. Watu wengi wameenguliwa kwa makosa kidogo, ambayo CHADEMA ingekuwa makini ingerekebesha fomu kabla ya kwenda tume. Unapiokuwa na adui unatakiwa usimpe mwanya wa visigizio kama kaandika Maro bdala ya Marwa au Maro badala ya Maro. Huu mfano ni hao mkoa wa Mara . Kuna wanaotumia Jina Maro na Maro. sasa inakiwa ujuwe kitambulisho chake ni Maro au Marwa..
 
Mbowe ilikuwa LAZIMA agombee kwa sababu ndie ana-fit kwenye nafasi ya Waziri Mkuu!!
 
Chadema ni kama boti linalozama, halina dawa. Kile chama kitamfia mikononi, maana jamaa kiburi hatari. Nani atachagua mtu wa Kuja kwenye kila kampeni tu, baada ya hapo humwoni tena. Ni zaidi ya msanii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…