Mbowe amelipongeza JWTZ kwa kutimiza miaka 60, awashukuru kwa Uzalendo Wao wakati wote!

Mbowe amelipongeza JWTZ kwa kutimiza miaka 60, awashukuru kwa Uzalendo Wao wakati wote!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amelipongeza JWTZ kwa kutimiza miaka 60

Mbowe amelishukuru Jeshi kwa Weredi na Uzalendo wake Kwa Miaka 60 sasa

Shukrani za Mbowe kazitoa Ukurasani X

Mungu wa mbinguni awabariki JWTZ 🌹
======
Hongera kwa @jwtz_tz kwa kutimiza miaka 60 ya kujitolea na kuhudumia taifa letu. Juhudi zenu za kulinda na kutetea Tanzania ndani na nje ya nchi ni ufahari kwa watu wote. Tunawaomba muendelee kuwa mahiri na wathubutu katika kulinda misingi ya Katiba yetu na Watanzania wote kwa haki na usawa. Asanteni.

Screenshot 2024-09-02 140938.png
 
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amelipongeza JWTZ kwa kutimiza miaka 60

Mbowe amelishukuru Jeshi kwa Weredi na Uzalendo wake Kwa Miaka 60 sasa

Shukrani za Mbowe kazitoa Ukurasani X

Mungu wa mbinguni awabariki JWTZ 🌹
Wamekuwa wakimya mno, yakitokea mauza uza waseme kuwa hili si zuri. wamuite sirini wamwambie kuwa hili achana nalo, wanakudanganya akina wasaidizi wako!
All in all, wamekuwa watulivu na watii wa sheria kama kiapo chao kilivyo. Nami nawapongeza kwa hilo.

INGAWA KUNA VIJANA WAO WANAPIGA RAIA, LKN HILO WANAWEZA KULIKOMESHA
 
Tunampongeza japo kwa uungwana kidogo. Lakini bado hajajibu tuhuma za Lissu
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amelipongeza JWTZ kwa kutimiza miaka 60

Mbowe amelishukuru Jeshi kwa Weredi na Uzalendo wake Kwa Miaka 60 sasa

Shukrani za Mbowe kazitoa Ukurasani X

Mungu wa mbinguni awabariki JWTZ 🌹
======
Hongera kwa @jwtz_tz kwa kutimiza miaka 60 ya kujitolea na kuhudumia taifa letu. Juhudi zenu za kulinda na kutetea Tanzania ndani na nje ya nchi ni ufahari kwa watu wote. Tunawaomba muendelee kuwa mahiri na wathubutu katika kulinda misingi ya Katiba yetu na Watanzania wote kwa haki na usawa. Asanteni.

Wacha tuone vijana watiifu nyuma ya key-pard wanalipi!
 
Godbless Lema pongezi zako hatujazisikia kwani walishakukimbiza ukiiba magari au ? Kwa nini uko kimya kutoa pongezi?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amelipongeza JWTZ kwa kutimiza miaka 60

Mbowe amelishukuru Jeshi kwa Weredi na Uzalendo wake Kwa Miaka 60 sasa

Shukrani za Mbowe kazitoa Ukurasani X

Mungu wa mbinguni awabariki JWTZ 🌹
======
Hongera kwa @jwtz_tz kwa kutimiza miaka 60 ya kujitolea na kuhudumia taifa letu. Juhudi zenu za kulinda na kutetea Tanzania ndani na nje ya nchi ni ufahari kwa watu wote. Tunawaomba muendelee kuwa mahiri na wathubutu katika kulinda misingi ya Katiba yetu na Watanzania wote kwa haki na usawa. Asanteni.

Message send to Godbless Lema na Kigaila
Jeshi liko imara kulinda ndani na nje dhidi ya ugaidi wa aina yeyote wa ndani au wa nje
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amelipongeza JWTZ kwa kutimiza miaka 60

Mbowe amelishukuru Jeshi kwa Weredi na Uzalendo wake Kwa Miaka 60 sasa

Shukrani za Mbowe kazitoa Ukurasani X

Mungu wa mbinguni awabariki JWTZ 🌹
======
Hongera kwa @jwtz_tz kwa kutimiza miaka 60 ya kujitolea na kuhudumia taifa letu. Juhudi zenu za kulinda na kutetea Tanzania ndani na nje ya nchi ni ufahari kwa watu wote. Tunawaomba muendelee kuwa mahiri na wathubutu katika kulinda misingi ya Katiba yetu na Watanzania wote kwa haki na usawa. Asanteni.

Hapo kwenye Katiba sasa ndiyo kipengele, Katiba inavunjwa na kuchezewa na watawala sana.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amelipongeza JWTZ kwa kutimiza miaka 60

Mbowe amelishukuru Jeshi kwa Weredi na Uzalendo wake Kwa Miaka 60 sasa

Shukrani za Mbowe kazitoa Ukurasani X

Mungu wa mbinguni awabariki JWTZ 🌹
======
Hongera kwa @jwtz_tz kwa kutimiza miaka 60 ya kujitolea na kuhudumia taifa letu. Juhudi zenu za kulinda na kutetea Tanzania ndani na nje ya nchi ni ufahari kwa watu wote. Tunawaomba muendelee kuwa mahiri na wathubutu katika kulinda misingi ya Katiba yetu na Watanzania wote kwa haki na usawa. Asanteni.

Aende zake huko.salamu za magaidi hazina maana kwa jeshi
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amelipongeza JWTZ kwa kutimiza miaka 60

Mbowe amelishukuru Jeshi kwa Weredi na Uzalendo wake Kwa Miaka 60 sasa

Shukrani za Mbowe kazitoa Ukurasani X

Mungu wa mbinguni awabariki JWTZ [emoji257]
======
Hongera kwa @jwtz_tz kwa kutimiza miaka 60 ya kujitolea na kuhudumia taifa letu. Juhudi zenu za kulinda na kutetea Tanzania ndani na nje ya nchi ni ufahari kwa watu wote. Tunawaomba muendelee kuwa mahiri na wathubutu katika kulinda misingi ya Katiba yetu na Watanzania wote kwa haki na usawa. Asanteni.

Baba yake wa ubatizo ni mwenye heri J.K.Nyerere....

Huyo mbona anajua vyema tu....

Amecheza sana pale Ikulu...

#Jeshi letu linalinda "imani takatifu" aliyotuanzishia mwenye heri[emoji2956]
 
Baba yake wa ubatizo ni mwenye heri J.K.Nyerere....

Huyo mbona anajua vyema tu....

Amecheza sana pale Ikulu...

#Jeshi letu linalinda "imani takatifu" aliyotuanzishia mwenye heri[emoji2956]
Lisu hajui hayo kuwa baba wa ubatizo wa Mbowe ni Nyerere Mkatoliki alisimama kama baba wa ubatizo wa Mbowe Mlutheri

Hivyo Lisu anatakiwa a connect dots kuwa akitukana Nyerere anatukana baba wa ubatizo wa Mbowe

Na hakuna watu wanaheshimiwa na mbatizwa kama baba au mama wa ubatizo
Hivyo Lisu akitukana Nyerere Mbowe bosi wake Lisu inamuuma sana

Awe makini kutukana baba wa watu wa ubatizo
 
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha
Wewe ndie waweza kuwa Juha na Lisu wako

Ulishawahi sikia Mbowe akitukana Nyerere? Hajawahi na hawezi

Juha kama wewe na huyo Lisu wako msioelewa historia ndio majuha wa Lisu sio Mbowe

Siasa za Tanzania ziko so complicated hakuna mfano wake duniani popote
Ukiwatazama watanzania mtu aweza ona kama wajinga fulani hivi lakini sio kisiasa wanajua siasa sana tena mno kuliko hata nchi zilizoendelea na wanajua kucheza karata za kisiasa
 
Back
Top Bottom