Mbowe ameongoza CHADEMA kwa miaka 20 sasa, hii ni demokrasia gani?

Mbowe ameongoza CHADEMA kwa miaka 20 sasa, hii ni demokrasia gani?

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Huyu kiongozi chama chake Kila siku kinaongelea habari za demokrasia ila yeye hataki kutoka hapo miaka zaidi ya 20 anakula ruzuku za chama, na ndio maana Lissu kamshtukia kaamua agombee uenyekiti na hili swala nilishalizungumza humu anafanya hiki chama kama chama chake.
 
Huyu kiongozi chama chake Kila siku kinaongelea habari za demokrasia ila yeye hataki kutoka hapo miaka zaidi ya 20 anakula ruzuku za chama, na ndio maana Lissu kamshtukia kaamua agombee uenyekiti na hili swala nilishalizungumza humu anafanya hiki chama kama chama chake.
Kwamba CAG hakagui chadema miaka yote
 
Wewe huna akili. Kwamba CAG hakagui chadema miaka yote
Unafikiri kila pesa inapitia kwenye account rasmi ? Pesa nyingine mtu anapelekewa nyumbani kwake , na hizo unataka CAG aende kukagua nyumbani kwa mtu?
 
Mkuu - Jamaa ndio ajira yake hiyo...Tatizo ni kuwa hataki ku-staafu. Na katiba ya Chama haina ukomo....Mwache apige pesa....Wajinga ndio wapigwao...
 
Huyu kiongozi chama chake Kila siku kinaongelea habari za demokrasia ila yeye hataki kutoka hapo miaka zaidi ya 20 anakula ruzuku za chama, na ndio maana Lissu kamshtukia kaamua agombee uenyekiti na hili swala nilishalizungumza humu anafanya hiki chama kama chama chake.
Gentleman,
kwamba ombaomba la kimataifa na kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ndiyo mtu muhimu asie tapeli, right?🐒
 
Huyu kiongozi chama chake Kila siku kinaongelea habari za demokrasia ila yeye hataki kutoka hapo miaka zaidi ya 20 anakula ruzuku za chama, na ndio maana Lissu kamshtukia kaamua agombee uenyekiti na hili swala nilishalizungumza humu anafanya hiki chama kama chama chake.
Chadema kwemye demokrasia ya uongozi ni ziro kabisa. CCM na mapungufu yake lakini kila miaka kumi kuna mwenyekiti mpya.
 
Kwanini hamna pendekezo la wagombee wote wawili tuone nani mshindi?
Kwanini kuna kuna kundi linataka Mwenyekiti Mbowe ajitoe?Kwani kuna limit ya mara ngapi anatakiwa kugombea?
Ili demokrasia ifanye kazi na ionekane kufanya kazi Mbowe achukue fomu ili ukweli ujulikane kupitia sanduku la kura nani anafaa kuwa Mwenyekiti mpya wa Chadema.
 
Huyu kiongozi chama chake Kila siku kinaongelea habari za demokrasia ila yeye hataki kutoka hapo miaka zaidi ya 20 anakula ruzuku za chama, na ndio maana Lissu kamshtukia kaamua agombee uenyekiti na hili swala nilishalizungumza humu anafanya hiki chama kama chama chake.
sasa kama anatamka chama changu nikiona kinazamishwa naingia mzigoni, maana yake ni chama chake. Tusubiri kesho ataamua vipi
 
Mungu ana maajabu sana kumnyima uraisi 2005. Ageshinda kilio cha CHADEMA kingekuwa kilio cha taifa hadi sasa.
 
Huyu kiongozi chama chake Kila siku kinaongelea habari za demokrasia ila yeye hataki kutoka hapo miaka zaidi ya 20 anakula ruzuku za chama, na ndio maana Lissu kamshtukia kaamua agombee uenyekiti na hili swala nilishalizungumza humu anafanya hiki chama kama chama chake.
CCM imeongoza Tanzania kwa goli la mkono bila mafanikio kwa zaidi ya umri wa kustaafu, hii ni demokrasia ya kibabe.
 
Back
Top Bottom