johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati Freeman Mbowe anapambania chanjo ya Corona wengi walimdharau lakini serikali ikamuelewa na chanjo za hiyari zinakuja.
Katiba mpya je?
Mwamba atatuvusha?!
Katiba mpya je?
Mwamba atatuvusha?!