johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
acha upotoshajiMbowe jina tu ila kuna mtu mwenye nguvu yupo nyuma yake na ni ccm
Siachi!acha upotoshaji
Ukitamani sana V8 watakuoa bwashee!Katiba Mpya inawahusu hata nyie huko lumumba, sio kila siku una type jf kwa buku saba wakati wenzio wako ndani ya V8 na kiyoyozi.
Hahahaaaa......!Acha kung'ata na kupuliza bwashee 🤣🤣🤣
Hata corona ilimsikiiliza alipoiamuru imfyeke dhalimu kwa ubishiWakati Freeman Mbowe anapambania chanjo ya Corona wengi walimdharau lakini serikali ikamuelewa na chanjo za hiyari zinakuja.
Katiba mpya je?
Mwamba atatuvusha?!
Corona hakuishia kwa dhalimu wa ubishi tu bali ilimpa na nyongeza kwa kaka yake.Hata corona ilimsikiiliza alipoiamuru imfyeke dhalimu kwa ubishi
Sijakuelewa.Wakati Freeman Mbowe anapambania chanjo ya Corona wengi walimdharau lakini serikali ikamuelewa na chanjo za hiyari zinakuja.
Katiba mpya je?
Mwamba atatuvusha?!
ukizeeka utakuwa mganga wa jadi na kwa umri wako sasa naisi tu ni mchawiSiachi!
Hivi kwa mfano CDM wakachukua nchi,.je,hawatatumia mavieite?Katiba Mpya inawahusu hata nyie huko lumumba, sio kila siku una type jf kwa buku saba wakati wenzio wako ndani ya V8 na kiyoyozi.
Heri ya hayo kuliko kuwa mtumwa wa mabeberuukizeeka utakuwa mganga wa jadi na kwa umri wako sasa naisi tu ni mchawi
Kapambania chanjo kwa familia yake tuWakati Freeman Mbowe anapambania chanjo ya Corona wengi walimdharau lakini serikali ikamuelewa na chanjo za hiyari zinakuja.
Katiba mpya je?
Mwamba atatuvusha?!
hujitambuiHeri ya hayo kuliko kuwa mtumwa wa mabeberu