Mbowe ametoa masterclass (darasa kuu) ya siasa za upinzani Tanzania leo. Historia itamsema vizuri

Mbowe ametoa masterclass (darasa kuu) ya siasa za upinzani Tanzania leo. Historia itamsema vizuri

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na maswali ya waandishi wa habari aliyoyajibu leo ni masterclass ya siasa za upinzani katika nchi yetu. Kuongoza upinzani sio oya oya kama wengi wanavyodhani, kunahitaji utulivu akili, uvumilivu, maturity na busara kubwa sana.

Baada ya kumtilia Mbowe mashaka uwezo wake wa kuongoza kwa siku za hivi baada ya kumsikiliza kwa kina leo nimeelewa vizuri kwa nini watu wamekuwa wanamuita "mwamba wa siasa za upinzani".

Hajawa mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka yote hiyo kwa bahati au ujanja ujanja tu, anastahili heshima kubwa.
 
Ni kweli ila hana mbinu mpya tena! Operations zote alizosema zilifeli ni moja tu ya kumleta Lowassa ilizaa wabunge zaidi na asingekuja bado ingekua business as usual, sawa ni somo na presentation ya A au A+ ila inatosha aache wachezaji wengine walete mbinu mpya! Imetosha hana kitu kipya tena
 
Kuna mahala nimemuita FAM genius kabla ya hii hotuba basi Kuna mtu akanishangaa kwelikweli, huo ndio ukweli FAM ni genius.

Ukiniambia nipange Leo kumi Bora za wanaoweza kuwa maRais wa nchi hii basi Mbowe yupo kwenye kumi bora yangu.

Tatizo la Mbowe malengo yake ni mengine kabisa na sio CDM kuchukua dola, hiyo ni kazi ya mabosi wake na yeye mwenyewe na inner circle yake.
 
Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na maswali ya waandishi wa habari aliyoyajibu leo ni masterclass ya siasa za upinzani katika nchi yetu. Kuongoza upinzani sio oya oya kama wengi wanavyodhani, kunahitaji utulivu akili, uvumilivu, maturity na busara kubwa sana.

Baada ya kumtilia Mbowe mashaka uwezo wake wa kuongoza kwa siku za hivi baada ya kumsikiliza kwa kina leo nimeelewa vizuri kwa nini watu wamekuwa wanamuita "mwamba wa siasa za upinzani". Hajawa mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka yote hiyo kwa bahati au ujanja ujanja tu, anastahili heshima kubwa.
Hakuna ambaye alimtiilia mashaka mbowe hasa kwenye Mpambano wa Mbowe na ma Lisu kuhhusu Mbowe kushindwa na Lisu. Wote wanajuaa kuwa Mbowe akishibdana ns Lisu ni kwenye uchagguzi Mbowe anashinda tena kwa kura nyyingi sanna, watu wannawasiwasi na Mbowe uwezo wakke kwa sasa wakuweza kukipeleeka CDM mbele, Mbbowe ameonyesha udhaifi mkubwa ktk siasa za kigaidi anafanyiwa vitendo viovo alafu yeye anasema hewala tu. Pia siku zakaribuni watu wanashuhudia ukwasi ukizoudi huku kukiws na tuhuma Lukukki za vitendo vya Rushwa vinavyo endelea walaa yeyye hajawi kukemeea su hata kama kkusema vipo au havipo hiyo inatia watu wengi wengi Mashaka, kwahiyo kkama Mbowe tagombea atashinda ila Chama hakitakuwwa na uwezo na ushawishi tena kwa wananchi CDM itakwenda kuwa ksma TLP, kila kitu wanamsifia Raisdi na serikali yake naina CDM inakwenda chama cha vikatuni. Nimeammini fedha inangguuvu kubwa.Kwa upande wwa Llisu namoana atabako kkuwa na nguvu ueye binafsi lakini akiwa hana Support. Naona CDM ikienda kupoteza mvuto kabisa kikibaki kuwa chama cha kucheza bao vibarazani, pia nikiona wale wote walio kuwa wakimuunga mkono Lisu wakirudi nyuma kujipendekeza kwa Mbowe ili waendelee kusurvive, Naona Covid 19 wakirudishwa ingawa hilo kwangu halijawahi kuwa baya. Mbowe bado utaluwa mkuu chadema ila kinara cha Taa Atapeewa Lisu. Mbowe hana swala ushawishi wa tena ndani ya dk umma kama zamani. CDM si kwa wanachama peke yake bali na umma mzima wa Watanzania. Nakiona kama chama cha ACT kikianza kuimarka na Tanzania Bara.
 
Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na maswali ya waandishi wa habari aliyoyajibu leo ni masterclass ya siasa za upinzani katika nchi yetu. Kuongoza upinzani sio oya oya kama wengi wanavyodhani, kunahitaji utulivu akili, uvumilivu, maturity na busara kubwa sana.

Baada ya kumtilia Mbowe mashaka uwezo wake wa kuongoza kwa siku za hivi baada ya kumsikiliza kwa kina leo nimeelewa vizuri kwa nini watu wamekuwa wanamuita "mwamba wa siasa za upinzani".

Hajawa mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka yote hiyo kwa bahati au ujanja ujanja tu, anastahili heshima kubwa.
Sijaona kilicho kusisimua zaidi ya maneno ya sifa unazompa kuhusu "utulivu, uvumilivu, maturity na busara kubwa".
Unajuwa, hata wakati wa ukoloni na kupigania uhuru, kulikuwepo na watu walio kuwa wakihimiza maneno hayo hayo yanayo kukoga moyo wako hapa; lakini ilipo bidi, njia mbadala zilihitajika kuwafurumusha wakoloni hao.

Huo utulivu na busara za Mbowe ni silaha kuu wanayo itumia CCM kuzima jitihada za kuwaondoa madarakani leo.
 
Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na maswali ya waandishi wa habari aliyoyajibu leo ni masterclass ya siasa za upinzani katika nchi yetu. Kuongoza upinzani sio oya oya kama wengi wanavyodhani, kunahitaji utulivu akili, uvumilivu, maturity na busara kubwa sana.

Baada ya kumtilia Mbowe mashaka uwezo wake wa kuongoza kwa siku za hivi baada ya kumsikiliza kwa kina leo nimeelewa vizuri kwa nini watu wamekuwa wanamuita "mwamba wa siasa za upinzani".

Hajawa mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka yote hiyo kwa bahati au ujanja ujanja tu, anastahili heshima kubwa.
Amesema nini la maana zaidi ya manipulation.

Anacheza na akili zenu that’s all!
 
Kwa makosa aliyoyafanya Lissu alitakiwa awe amefukuzwa uanachama lakini Mbowe amemuachia aendelee kukichafua chama🐼
 
Sijaona kilicho kusisimua zaidi ya maneno ya sifa unazompa kuhusu "utulivu, uvumilivu, maturity na busara kubwa".
Unajuwa, hata wakati wa ukoloni na kupigania uhuru, kulikuwepo na watu walio kuwa wakihimiza maneno hayo hayo yanayo kukoga moyo wako hapa; lakini ilipo bidi, njia mbadala zilihitajika kuwafurumusha wakoloni hao.

Huo utulivu na busara za Mbowe ni silaha kuu wanayo itumia CCM kuzima jitihada za kuwaondoa madarakani leo.
Watanzania wengi sio hata watu wa siasa za harakati ngumu, wangekuwa watu wa kuchemka Lissu alivyopigwa risasi wange react.
 
Dalali kwenye siasa za bongo CCM wanampenda Kwa sababu ana Bei elekezi
 
Watanzania wengi sio hata watu wa siasa za harakati ngumu, wangekuwa watu wa kuchemka Lissu alivyopigwa risasi wange react.
Hii ni tafsiri tu mnayo wawekea waTanzania isiyo kuwa na misingi yoyote ya ukweli. Tulikwenda kupigana vita Uganda na nchi ikiwa imeshikamana sana na wananchi hao hao wakishiriki kwa njia mbali mbali. Hali ilikuwa hivyo hivyo wakati tuki unga mkono juhudi za ukombozi wa wenzetu Kusini mwa Afrika.

Sasa leo anapo kuwepo mkoloni mweusi akitumia hila kuendelea kuwepo madarakani na kuwapumbaza wananchi; watu hao hao wanatajwa kuwa "siyo wa siasa na harakati ngumu".
Kama hujui, kushikiliwa kwa CHADEMA kunakofanywa na CCM chini ya uongozi wa Mbowe ndiyo mbinu inayo sababisha hayo unayo yasema hapa.
 
Miaka 5 ya Mbowe ACT itakiwa chama kikuu cha Upinzani badala ya CDM
 
Back
Top Bottom