Pre GE2025 Mbowe ametulia, hajibu tuhuma anazitupiwa na watu wasiompenda. Hii inaonesha hekima na busara ya uongozi

Pre GE2025 Mbowe ametulia, hajibu tuhuma anazitupiwa na watu wasiompenda. Hii inaonesha hekima na busara ya uongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

OPEN the Door

Senior Member
Joined
Nov 15, 2024
Posts
170
Reaction score
84
Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona Mwenyekiti Freeman Aikaeli Mbowe ametulia.

Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonesha hekima, busara, uongozi uliotukuka.

Bila shaka wajumbe wa Mkutano Mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/01/2025.

Huo ndo ukweli. Makamu Mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.

Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.

Nawasilisha.
 
Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona mwenyekiti Freeman AIKAELI Mbowe ametulia.

Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonyesha Hekima,busara, uongozi uliotukuka.

Bila shaka wajumbe wa mkutano mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/012025.

Huo ndo ukweli. Makamu mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.

Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.

Nawasilisha.
Abadilishe katiba ya CHADEMA, atambulike kama mfalme wa chama ili aweze kuwarithisha wanawe kwa urahisi
 
Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona mwenyekiti Freeman AIKAELI Mbowe ametulia.

Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonyesha Hekima,busara, uongozi uliotukuka.

Bila shaka wajumbe wa mkutano mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/012025.

Huo ndo ukweli. Makamu mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.

Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.

Nawasilisha.
Hata ungekuwa ni wewe umegundulika kula Rushwa na kupoteza wenzako ungeweza kufungua mdomo wako?

Mbowe kapigwa na kitu kizito. Kumbuka pia naye anapita kwenye social media humu anaziona Pini za Watanganyika
 
Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona mwenyekiti Freeman AIKAELI Mbowe ametulia.

Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonyesha Hekima,busara, uongozi uliotukuka.

Bila shaka wajumbe wa mkutano mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/012025.

Huo ndo ukweli. Makamu mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.

Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.

Nawasilisha.
Mbowe atashinda uchagu kwa kishindo kikuu,

licha ya mayowe na makelele ya kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, na ishara za wazi za kujiengue kwenye chama hicho :pulpTRAVOLTA:
 
Amelamba asali ya delila anajua akijibu ataumbuka mwambieni waachie video ya kamati kuu muone baada ya Lissu kuachia ushahidi alijitetea vipi
 
Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona mwenyekiti Freeman AIKAELI Mbowe ametulia.

Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonyesha Hekima,busara, uongozi uliotukuka.

Bila shaka wajumbe wa mkutano mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/012025.

Huo ndo ukweli. Makamu mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.

Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.

Nawasilisha.
Hebu orodhesha ''tuhuma'' anazotupiwa na watu waliomtuhumu. Na pia utuelezee kama Lissu naye hajatupiwa tuhuma.
 
Back
Top Bottom