OPEN the Door
Senior Member
- Nov 15, 2024
- 170
- 84
- Thread starter
-
- #21
Tuhuma kama vile:-kung'ang'ania madaraka wakati kidemokrasia kila mwanachama ana haki ya kugombea. Matumizi mabaya ya fedha za chama wakati yeye si mtoa fedha(signatory) pekee., mlamba asali wakati yeye Mbowe ni mfanyabiashara......nkHebu orodhesha ''tuhuma'' anazotupiwa na watu waliomtuhumu. Na pia utuelezee kama Lissu naye hajatupiwa tuhuma.
Vitoto vya siku hizi sijui inahitaji mpitie yapi ili akili zenu ziweze kupevuka na kuweza kudadavua mambo.Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona mwenyekiti Freeman AIKAELI Mbowe ametulia.
Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonyesha Hekima,busara, uongozi uliotukuka.
Bila shaka wajumbe wa mkutano mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/012025.
Huo ndo ukweli. Makamu mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.
Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.
Nawasilisha.
Uchaguzi HURU wa kidemokrasia wenye uwaziwameshaamu atayari ,
ni kwenda kutekeleza taratibu za kisheria na kikatiba tu Jan.22,2025
Aliamua kutumia haki yake ya kidemokrasia.Labda alifanya jitihada za kutaka kusawazisha mambo ndani kwa ndani ikashindikana. Rejea alivyorudi kutoka safari alisema hatogombea nafasi ya mwenyekiti, so ni nini kimetokea mpaka kaamua kugombea?
Huyo Ntobi naye si alitoa maoni yake? Asikilizwe.Usichokijua ni kiwa, ukimuona NTOBI, umemuona mbowe
utaratibu uko hivyo na ni kwa mujibu wa sheria na katiba ya chama,Uchaguzi HURU wa kidemokrasia wenye uwazi
Naunga mkono hoja Yako. Ninachokataa ni kuhusu tuhuma wanazotoleana baina Yao utadhani ni uchaguzi wa kitaifa kiwatafuta viongozi kupitia vyama vingi vya siasa. Hivi huu uchaguzi wa kumtafuta kiongozi mkuu wa Chadema ndiyo wavuane nguo,ulimwengu ujue kinachoendelea ndani ya Chadema ili tukisikia sisi ambao siyo wajumbe wa mkutano mkuu ili iweje?Vitoto vya siku hizi sijui inahitaji mpitie yapi ili akili zenu ziweze kupevuka na kuweza kudadavua mambo.
Mbowe alishaongea wakati akitangaza kugombea, hakuwa na cha kujibu kwa kuwa mpaka wakati huo hakuna kilichoelekezwa kwake kuhitaji majibu.
Kilichotokea, mara baada ya Lissu kutangaza kuchukua form circle ya wapambe wake walimshambulia sana Tundu Lissu. Yeye pia, wakati akitangaza kugombea, alitumia muda mwingi kumshambulia yule anayemuona ni mpinzani wake, pia akatumia kujibu shutuma na hoja ambazo hakuelekezewa bali ni msswali na hoja zilizojengwa na dhamira yake inayomsuta.
Kitendo cha speech ya Mbowe kutoendelea kujadilika na kuishia kuyayuka kama moshi, ni sababu wa wepesi wake, viliishia kuduma kwa masaa 36 pekee.
Majibu, sera, mikakati na hotuba za Lissu vinavutia, vinaishi vichwani mwa watu, ndiyo maana hadi leo wanavijadili utadhani labda ametoka kuviongea just masaa mawili yaliyopita huku wengi wenu mkiambiwa mtukumbushe Mbowe alionfea nini kwenye hotuba yake, mnachokumbuka ni kutangaza kuchukua form na kustaafu akiwa na umri wa Mtei. Sidhani kama zaidi ya hayo kuna kingine mnakikumbuka katika hotuba ile ya zaidi ya saa moja
SAWA mkuu, Mimi si mwanachama wa Chadema ila ningependa mambo Yao wasiyamwage hadharani. Kampeni Yao si wakafanyie siku ya upigaji kura?utaratibu uko hivyo na ni kwa mujibu wa sheria na katiba ya chama,
ukiona mgombea au shabiki wa chama hicho hicho anasisitiza sana jambo hilo ujue ni exit strategy kwenye chama. alanenga kuondoka chamani
zote ni sehemu ya kampeni kuvutia upande uliouchagua,hivyo wajumbe wanayonafasi ya kufanya uamuzi wenye manufaa kwa chama na taifa,hata kama mauzo na manunuzi yakipenyezwa akili kichwani mwa kila mjumbe sii kwa manufaa yake kwa ajili hata ya wajukuu na vitukuu wao.Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona mwenyekiti Freeman AIKAELI Mbowe ametulia.
Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonyesha Hekima,busara, uongozi uliotukuka.
Bila shaka wajumbe wa mkutano mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/012025.
Huo ndo ukweli. Makamu mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.
Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.
Nawasilisha.
Sasa ajibu nini kama hana hoja????Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona mwenyekiti Freeman AIKAELI Mbowe ametulia.
Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonyesha Hekima,busara, uongozi uliotukuka.
Bila shaka wajumbe wa mkutano mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/012025.
Huo ndo ukweli. Makamu mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.
Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.
Nawasilisha.
Ameshajibu kile anachojua yeye Mbowe lakini Kwa sababu za chuki binafsi watu bado wakiendeleza tu lakini naona mwenyekiti ameamua kutokuongea.Sio kwamba hapendi kujibu, hana hayo majibu!.
Awamu hii wapambe mmemdanganya mwamba akakurupuka ndio maana anadhalilika tu sasa.
Siyo hana hoja bali tuhuma zisizo na ukweli.Sasa ajibu nini kama hana hoja????
"Akaaye kimya ni mwenye hekima na anaitafuta busara"! Ila usisahau"debe tupu haliachi kutika"!Sio kwamba hapendi kujibu, hana hayo majibu!.
Awamu hii wapambe mmemdanganya mwamba akakurupuka ndio maana anadhalilika tu sasa.
Kama alivyosema yeye kuwa kura zikikataa ataachia ngazi. Yeyote atakayeshindwa akubali matokeo.Ametulia akijiandaa kukabidhi ofisi /Uenyekiti
Kweli mkuu.Umenena ukweli.Nafsi Yako ni HURU."Akaaye kimya ni mwenye hekima na anaitafuta busara"! Ila usisahau"debe tupu haliachi kutika"!
Hoja zake?????Siyo hana hoja bali tuhuma zisizo na ukweli.
Mwenye ushahidi wa asali hizo awahi mahakamani ili achunguzwe.Amelamba asali ya delila anajua akijibu ataumbuka mwambieni waachie video ya kamati kuu muone baada ya Lissu kuachia ushahidi alijitetea vipi
Toeni video ya kamati kuu mwamba tuvushe amelamba asaliMwenye ushahidi wa asali hizo awahi mahakamani ili achunguzwe.