Pre GE2025 Mbowe ametulia, hajibu tuhuma anazitupiwa na watu wasiompenda. Hii inaonesha hekima na busara ya uongozi

Pre GE2025 Mbowe ametulia, hajibu tuhuma anazitupiwa na watu wasiompenda. Hii inaonesha hekima na busara ya uongozi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona Mwenyekiti Freeman Aikaeli Mbowe ametulia.

Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonesha hekima, busara, uongozi uliotukuka.

Bila shaka wajumbe wa Mkutano Mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/01/2025.

Huo ndo ukweli. Makamu Mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.

Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.

Nawasilisha.
Kama tuhuma ni za kqeli ajibu nini?
Akijibu anapewa uthibitisho.
Abdul ana nguvu sana amemuweza mwamba
 
Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona Mwenyekiti Freeman Aikaeli Mbowe ametulia.

Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonesha hekima, busara, uongozi uliotukuka.

Bila shaka wajumbe wa Mkutano Mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/01/2025.

Huo ndo ukweli. Makamu Mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.

Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.

Nawasilisha.
Hata Mzee Lowasa alitulia ila mwisho wa siku kura hazikutosha
 
Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona Mwenyekiti Freeman Aikaeli Mbowe ametulia.

Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonesha hekima, busara, uongozi uliotukuka.

Bila shaka wajumbe wa Mkutano Mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/01/2025.

Huo ndo ukweli. Makamu Mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.

Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.

Nawasilisha.
Mbowe hali ni mbaya, moto anao washiwa sio wa nchi hii
 
Hata Mzee Lowasa alitulia ila mwisho wa siku kura hazikutosha
Uchaguzi ulikuwa wa haki na Demokrasia ndiyo inayomfanya kila mtu aridhike. Hayati Lowasa alijitahidi hadi wabunge wengine wa upinzani walipatikana.
 
Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona Mwenyekiti Freeman Aikaeli Mbowe ametulia.

Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonesha hekima, busara, uongozi uliotukuka.

Bila shaka wajumbe wa Mkutano Mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/01/2025.

Huo ndo ukweli. Makamu Mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.

Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.

Nawasilisha.
Ni ama hana uwezo wa kujibu chochote au Lisu ana counter attack kubwa kiasi ambacho mbowe hamuwezi. Aseme suu Lisu amwage mboga. Lisu anajua Mengi. Atasema hata aliyempiga lisasi ni mbowe. Na kibao pia ni mbowe
 
Ni ama hana uwezo wa kujibu chochote au Lisu ana counter attack kubwa kiasi ambacho mbowe hamuwezi. Aseme suu Lisu amwage mboga. Lisu anajua Mengi. Atasema hata aliyempiga lisasi ni mbowe. Na kibao pia ni mbowe
Duh, sasa kama anawajua maadui zake Kwa nini anawaficha?
 
Siyo kwamba ametulia kutokana na busara zake bali hana cha kujibu.
Lakini kama ni busara, basi ndo busara hizo hizo zinazomfanya asichukue hatua kali dhidi ya dhuluma nyakati za Uchaguzi.
 
Siyo kwamba ametulia kutokana na busara zake bali hana cha kujibu.
Lakini kama ni busara, basi ndo busara hizo hizo zinazomfanya asichukue hatua kali dhidi ya dhuluma nyakati za Uchaguzi.
Ok, ngoja tusubiri wapigakura wataamua nini.
 
Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona Mwenyekiti Freeman Aikaeli Mbowe ametulia.

Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonesha hekima, busara, uongozi uliotukuka.

Bila shaka wajumbe wa Mkutano Mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/01/2025.

Huo ndo ukweli. Makamu Mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.

Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.

Nawasilisha.
Nawashukuru sana baadhi ya media kv Crown na Clouds tv Kwa kumuhoji FAM na kutoa yaliyomo moyoni mwake.Ni baada ya KIMYA kingi. Sasa walio na dukuduku wameelewa dhamira na hoja ya Freeman AIKAELI Mbowe, mgombea nafasi ya mwenyekiti Chadema. Sasa ili kuleta usawa, media hizo iwaalike wagombea wengine wa nafasi hiyo.
 
Habari za Dominika wapendwa. Nakwenda kwenye mada. Naona Mwenyekiti Freeman Aikaeli Mbowe ametulia.

Hajibujibu tuhuma anazitupiwa na Watu wasiompenda. Hii inaonesha hekima, busara, uongozi uliotukuka.

Bila shaka wajumbe wa Mkutano Mkuu ndiyo waamuzi siku ya kura Kwa kuwa majibu yatapatikana tarehe 21/01/2025.

Huo ndo ukweli. Makamu Mwenyekiti Tundu Antipas Lisu na wale wengine waliochukua fomu muwe wapole na msibomoe chama chenu Kwa kuvuana nguo kutoa madhaifu ya chama chenu maana haisaidii kutangaza madhaifu ya chama Kwa Dunia isiyoweza kuwasaidia bali madhaifu yenu mnapaswa kuyasawazisha ninyi wenyewe.

Kura zipigwe Kwa halali. Kura Hivyo itupatie uhalali wa Chadema kuitwa chama Cha kidemokrasia na ndiyo iwe msingi wa kudai KATIBA MPYA na TUME HURU YA UCHAGUZI.

Nawasilisha.
SI MUDA WOTE KWENYE MAISHA TUNAHITAJI HEKIMA
 
Back
Top Bottom