Mbowe amewasaliti watanzania, hana nia na mpango wa kuig'oa CCM madarakani, anazuga mitaani akiokoteza vijisenti vya kujaza matumbo yake

Mbowe amewasaliti watanzania, hana nia na mpango wa kuig'oa CCM madarakani, anazuga mitaani akiokoteza vijisenti vya kujaza matumbo yake

Price tag unaijua?. Alishindwa kufika price tag kipindi Cha Magufuli aliyofanyiwa kila aina ya hiyana, mpka kufungiwa akaunti zake na pesa kuchukuliwa. Tusiongee ili mradi hatumpendi Mbowe, tuongee ukweli.
Alikaza ila sasa ameachia..jela kubaya sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Aliachiwa na Mama Samia kwa mkataba maalumu.

Eti wajenge nchi. Sasa mtu makini utajenge nchi na hii CCM?

Sasa hivi hasikiki kama ana mpango wa kuhakiaha CCM inag'oka madarakani.

Kumbe jela ni njia ya kunyamazisha watu.
Yaonekana kama vile umeamka nazo, sijui ile ya jana nusu yake uliinywa mwenyewe.
 
Ni kweli mtupu syo tu Mbowe hii nchi hakunaga mpinzani wa kweli ambaye yupo tayari kushika dola bt wote ni vibaraka wa Chama tawala hizi blah blah za mitandaoni ni kuwazuga tu wananchi bt huko nyuma, lao ni moja wanakunywa na kula bata Pamoja.
Na kupigana risasi pamoja ...... Mpuuzi sana wewe.
 
Back
Top Bottom