Mbowe ana udhibiti wa wajumbe wote wa Kamati Kuu ijayo ya CHADEMA, Lissu haelewani nao, atapitisha vipi hoja zake?

Kama umewahi kuwa kiongozi katika ngazi yoyote basi utaelewa kwanini Mbowe bado anastahili kuwa mwenyekiti kulinganisha na Lisu.

Lema angegombea nafasi ya m/kiti na Mbowe...Lema alikuwa ni bora kuliko Mbowe kwa sasa.

Uongozi siyo lele mama,unahitaji watu walusaidie mpaka ngazi ya chini...huwezi kuongoza kwa kushutumu wenzako daily.

Namkubali Lisu ila siyo kwenye nafasi ya m/kiti. Pacome hawezi kucheza nafasi ya Diara...kila mchezaji ana nafasi yake.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Kweli kabisa
 
Lisu anapendwa na wananchi wa kawaida
 
Lisu amepisha kwenye hiyo nafasi ambayo hajakaa miaka 15, sasa anagombea nafasi nyingine ambayo nayo ameahidi kuweka kikomo cha nafasi hizo. Una lingine?
 
Kamati kuu ipi wajumbe wakamati kuu nao si ndiyo wanagombea pakuteuliwa na mwenyekiti anaruhusiwa kuwaongeza 5
 
Ukiona watu wa Chama fulani ambao ni wapinzani wenu wamekazana kumsagia kunguni mgombea mmojawapo katika wagombea wenu Ujuwe huyo ndiye anayeogopewa huko Chamani kwao πŸ˜³πŸ€£πŸ˜„ !
 

Musiba SI kawaasa kukaa pembeni?



Cc: Tlaatlaah
 

Musiba SI kawaasa kukaa pembeni?

View attachment 3190665

Cc: Tlaatlaah
 
Ni kwanini wafuasi kindkindaki wa CCM humu jukwaani wanampigia sana debe Mbowe na wanamponda sana Lissu ???!
πŸ˜³πŸ˜…πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…