Mbowe anaenda kubadilisha historia ya Tanzania

Ipo siku isiyo na jina watawala watatuzuia watu tusiongee lkn hata mawe yataongea.
Jambo la kufikirika hili.

Enyi watanzania mmepewa viungo vya mwili na akili. Vitumieni kumtetea Mbowe. Msijipe moyo kwamba kuna siku mawe yataongea.

Mbona Syria, Cameroon, Gabon, Korea Kaskazini, n.k ambako kuna udikteta uliyokomaa mawe hayaongei???
 
Kwenye hili Samia nimemdharau na kumshusha viwango mpk kuwa sawa na tissue paper iliyotumika.
Binafsi huyu mama nilikuwa namtete sana kwenye magruop hasa pale mataga wakimzodoa ila kwahili la mbowe mama kaingi chaka vibaya sana pengine wabaya wake wamemtegeshea ili kumshusha bila yeye kujua?! nayeye bila kujua anabakia kurembua tu.
 
Wacha vyombo vya sheria vifanye kazi yake, au ukiwa mpinzani nchi hii unakuwa na kinga ya kutoshtakiwa?
 
Mwenyekiti wa muda wote, afu eti anadai demokrasia, hovyo kabisa
 
Umenikumbusha magaidi wanaochoma shule
 
Hawa maccm wanachofanya Ni kupoteza muda tu I'll katiba mpya lazima ipatikane kwa namna yoyote.bibi wa shungi ataruhusu tu.uchumi wa nchi unajengwa na katiba imara
 
Umekunywa nini ?!!🤣🤣

Ha ha ha Tanzania ilianzia pale BAGAMOYO.....Mbowe hawezi kuuondoa MZIMI ULIOSIMIKWA kwa ajili ya kulilinda taifa hili lenye SERIKALI MBILI....

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO

#NchiKwanza
#SiempreCCM
 
Umekunywa nini ?!![emoji1787][emoji1787]

Ha ha ha Tanzania ilianzia pale BAGAMOYO.....Mbowe hawezi kuuondoa MZIMI ULIOSIMIKWA kwa ajili ya kulilinda taifa hili lenye SERIKALI MBILI....

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO

#NchiKwanza
#SiempreCCM
Wenye akili ndogo kama yako watakuunga mkono,lakini kumbuka dunia haikuumbwa na mizimu.
Kila jambo lina mwisho wake.

Mlimtukuza mwendazake mlijiaminisha kuwa ni chuma hakifi.
Toka chato,kupitia Moro na kumtukana abood kufika Dar jumla.
MUNGU ALIYEHAI NI WAWOTE WENYE MWILI

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣Kweli MUNGU NI KILA KITU...

Mungu huyohuyo amekipa CCM mamlaka ya utawala juu ya watu wake watanzania.....

Na hiyo mizimu ameiumba huyohuyo Mungu....

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO
 
[emoji1787][emoji1787]Kweli MUNGU NI KILA KITU...

Mungu huyohuyo amekipa CCM mamlaka ya utawala juu ya watu wake watanzania.....

Na hiyo mizimu ameiumba huyohuyo Mungu....

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO
Endelea kuamini hivyo msukusu wewe ndiyo maana mmejiyengenezea dunia yetu gambush mkiamini itadumu.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Wacha vyombo vya sheria vifanye kazi yake, au ukiwa mpinzani nchi hii unakuwa na kinga ya kutoshtakiwa?
Sawa kabisa. Vyombo vyenyewee wasimamizi Ni kina Thomas Simba.
Kitu wasichokijua Ni kwamba wanazidi kumpa Mbowe umaarufu.
Kama kipindi Cha Mrema kubebwa.
Nyerere aliposema mwacheni Mrema abebwe ndio ukawa mwisho wa Mrema.
Si mnamuona wenyewe hakuna anayemsikiliza
 
Binafsi huyu mama nilikuwa namtete sana kwenye magruop hasa pale mataga wakimzodoa ila kwahili la mbowe mama kaingi chaka vibaya sana pengine wabaya wake wamemtegeshea ili kumshusha bila yeye kujua?! nayeye bila kujua anabakia kurembua tu.
Urembo umeanza kupungua.
 
Umekunywa nini ?!!🤣🤣

Ha ha ha Tanzania ilianzia pale BAGAMOYO.....Mbowe hawezi kuuondoa MZIMI ULIOSIMIKWA kwa ajili ya kulilinda taifa hili lenye SERIKALI MBILI....

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO

#NchiKwanza
#SiempreCCM
One vampire is dead and rotting in hell! This female vampire will be extinct very soon lest she changes for the better.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…