KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Ulichoandika ndicho kinachopaswa kuandikwa na mwanadamu anayejua maana ya uanadamu......moyo wa mtu ni kiza kinene.....Moyo wa mtu msitu. Mbowe anaweza akawa gaidi au sio gaidi, ukweli utajulikana na mahakama itaamua. Hata enzi za Zaire kuna watu hawakuamini kama Mobutu ameshiriki mauaji ya Lumumba kutokana na wema alioanza kuuonesha kwa wazaire wa wakati ule, lkn baadae ikaja kujulikana na kugundulika kuwa yeye (Mobutu) ndio alikuwa chanzo cha mauaji yale ya kinyama kwa waziri mkuu wao, pia wakaja kugundua kuwa Mobutu alikuwa ni mtu katili kuliko ukatili wenyewe.
Kama kweli Mbowe ameonewa basi laana iwashukie watesi wake....na kama Mbowe ametenda haya anayoshutumiwa laana ya Mungu imshukie.......