Mbowe anaenda kubadilisha historia ya Tanzania

Ulichoandika ndicho kinachopaswa kuandikwa na mwanadamu anayejua maana ya uanadamu......moyo wa mtu ni kiza kinene.....

Kama kweli Mbowe ameonewa basi laana iwashukie watesi wake....na kama Mbowe ametenda haya anayoshutumiwa laana ya Mungu imshukie.......
 
Hakika mkuu.. binadam huwa tunapenda kulaumu au kutetea kitu tusichokijua uhalisia wake.
 
One vampire is dead and rotting in hell! This female vampire will be extinct very soon lest she changes for the better.
Who are you to let her extinction?!

Are you deluled ?!!!

ENDELEZA KUUFUKUZA UPEPO
 
(AU) mama kaamua kuheshimu mhimili wa dola ili asiingilie mihimili ya dola ndo maana yupo kimya??.

Maana wabongo hatueleweki..raisi akiongea utasikia "Anaingilia mhimili wa dola na mahakama" Akikaa kimya utasikia "Ndo wale wale"

Najaribu kuwaza lakini
 
Last time I checked, mahakama ilitengua hukumu ya faini ya mamilioni ambayo Mbowe na wenzie walihukumiwa enzi za Mwendazake. Na baadhi yetu tuliposema "Mama ameanza vizuri" tulifokewa kuwa "kwani Mama ndio mwenye mahakama"?

Last time I checked, Mdude alipoachiwa huru na mahakama mlituambia sio Mama Samia aliyewezesha hilo bali mahakama. Iweje sasa maamuzi ya mahakama yageuzwe kuwa lawama kwa Mama Samia?

Vuteni subira. Mahakama iliyomkuta Mdude hana hatia inaweza pia kumkuta Mbowe hana hatia. Muwe wastahimilivu.
 
Kwasasa serikali inapika ushahidi

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo unasema hata Samia Suluhu naye atakuja kujipambanua kuwa kiongozi katili, mwonevu, anayebambikia wapinzani wake ugaidi ili mradi aendelee kukaa madarakani, au wewe unasemaje, maanake maelezo yako hapa yanaonekana kuwa hivyo ndivyo unavyodhani itakuwa baada ya nchi hii kuondokana na utawala wa kikatili wa CCM na viongozi wake.
 
Acha uongo,???
 
Muda bado
 
Hakika mkuu.. binadam huwa tunapenda kulaumu au kutetea kitu tusichokijua uhalisia wake.
Watu wameacha mahaba yawaamulie mpaka wanampa mwanadamu sifa ya malaika.....

Mbowe anaweza akawa anaonewa au lakini vile vile tusiongee tukamaliza.......
 
Kwenye hili Samia nimemdharau na kumshusha viwango mpk kuwa sawa na tissue paper iliyotumika.
Sasa Samia kafanya nini?
[emoji16][emoji16][emoji16]Dahhh..!!!

Hata kama Samia ndo anahusika na kukamatwa kwa jamaa ni sawa tu kwasababu yeye ndio rais ndio mkuu wa nchi,huwezi kukubali kuwa raisi anayepelekeshwa na akina Mbowe halafu ukasema nchi yangu ipo salama,she's strongest president ever..
 
Sasa Samia kafanya nini?
Dahhh..!!!
Kama unadhani Samia hahusiki na kukamatwa na kwa Mbowe, basi hujui namna nchi inavyoendeshwa.

Kwa Samia, tumepigwa. Mungu iburute Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…