Mbowe anaidai Chadema Fedha nyingi Sana, sasa kama wameshindwa kumlipa akiwa Madarakani wataweza akiondoka?

Mbowe anaidai Chadema Fedha nyingi Sana, sasa kama wameshindwa kumlipa akiwa Madarakani wataweza akiondoka?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema

Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti

Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti

Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
 
Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema

Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti

Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti

Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
Tunasimama na Mbowe! Awepo mpaka pesa zake zirudi😂😂😂
 
Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema

Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti

Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti

Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
Huu uzi wa ngapi unauandika kuhusiana na Chadema kwa leo tu?
 
Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema

Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti

Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti

Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
Unaonaje ukawa msemaji wa chama chenu, hiki Kiache kama ulivyokikuta we shwaini!
 
Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema

Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti

Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti

Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
Basi kama ni hivyo mbona ni jambo dogo sana.Basi wote msiopenda aendelee kuwepo basi najitolea kutembeza bakuli ilialipwe mnachokijua kuwa anakidai chama,wote walio tayari na wanaofahamu anachodai kwa chama.Hapa sitarajii kumkosa Lucas,Choice,John na rafikiz zao,hapa hata covid na taraji niwaone.
 
Ila vyama vya upinzani uendeshaji wake una janja janja nyingi
 
Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema

Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti

Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti

Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
Ina maana hili deni huwa halishi tu ,nakumbuka tangu enzi aliwazia lorry lenye vipaaza sauti za kubadikwa kwa bei ya ajab kweli kweli ,itakuwa ndio wanaendelea kulipa RIBA hadi leo aisee.SAD
 
Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema

Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti

Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti

Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
nawe ni kibaka
 
CHADEMA ni taasisi yenye bodi ya wadhamini, inaweza kushtaki na kushtakiwa.
 
Back
Top Bottom