johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tunasimama na Mbowe! Awepo mpaka pesa zake zirudi😂😂😂Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema
Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti
Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
Huu uzi wa ngapi unauandika kuhusiana na Chadema kwa leo tu?Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema
Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti
Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
Unaonaje ukawa msemaji wa chama chenu, hiki Kiache kama ulivyokikuta we shwaini!Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema
Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti
Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
Tutaacha kuandika 28 November 😂Huu uzi wa ngapi unauandika kuhusiana na Chadema kwa leo tu?
Mbowe anazingua sana huyu Mzee😆😆Tutaacha kuandika 28 November 😂
Tunawatakia kila la heriTutaacha kuandika 28 November 😂
Ahsante 😂😂Tunawatakia kila la heri
Basi kama ni hivyo mbona ni jambo dogo sana.Basi wote msiopenda aendelee kuwepo basi najitolea kutembeza bakuli ilialipwe mnachokijua kuwa anakidai chama,wote walio tayari na wanaofahamu anachodai kwa chama.Hapa sitarajii kumkosa Lucas,Choice,John na rafikiz zao,hapa hata covid na taraji niwaone.Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema
Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti
Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
Ameshabugia visungura vya kutosha hapo akipoza na serengeti lite anaenda kulala sasa hiviHuu uzi wa ngapi unauandika kuhusiana na Chadema kwa leo tu?
Ina maana hili deni huwa halishi tu ,nakumbuka tangu enzi aliwazia lorry lenye vipaaza sauti za kubadikwa kwa bei ya ajab kweli kweli ,itakuwa ndio wanaendelea kulipa RIBA hadi leo aisee.SADKatika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema
Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti
Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
nawe ni kibakaKatika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema
Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti
Ndio sababu hata Tundu Lisu hataki kugombea Uenyekiti kwa sababu ya huo mziki wa Deni la Mwenyekiti
Mnyonge mnyongeni Haki yake mpeni🐼
Acha ukabilaMbowe ukimpa pesa apeleke CHADEMA akifika huko anasema nawakopesha this much ila WACHAGA 😂😂
Mbowe ni kibaka tangu lini? 🐼nawe ni kibaka