Mbowe anaidai Chadema Fedha nyingi Sana, sasa kama wameshindwa kumlipa akiwa Madarakani wataweza akiondoka?

Kukopa ni kitu cha kawaida. Si nchi tu inayokopa bali hata chama kinakopa. Kutokea sasa mjadala wa akina Kigaila wa nchi imekopa, ah, imekopa uishe kwani hata M/kiti kakikopesha chama ili kiweze kufanya shughuli zake vizuri.
 
Wewe jamaa mwongo sana. Mbowe alishalipwa siku nyingi hadai kitu Chadema.
 
Wewe jamaa mwongo sana. Mbowe alishalipwa siku nyingi hadai kitu Chadema.
Chadema inamilikiwa Kwa Hisa Sidhani kama unafahamu hilo

Hisa za Mtei anazo Mbowe

Hisa za Tuntemeke anazo Sugu

Hisa za Ngaiza.anazo Mdee

Hisa za Bob anazo Kigaila

Hisa za Ndesa anazo Lucy

Hisa za Mwakitwange anazo Mnyika

Mliobakia wote ni Wabangaizaji πŸΌπŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…