johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Aliyeridhiana na CCM ni Freeman Mbowe na aliyegeukwa ni Yeye mwenyewe Mbowe kwa Sababu yeye ndio anajua walichoridhiana
Pia, Soma: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini
Mbowe aliombwa awe anatoa taarifa ya Wanachojadili kwenye Maridhiano lakini alikataa akidai ni Siri na Kwamba taarifa itatolewa kwa pamoja mwishoni
Sasa leo analia nini ikiwa Maridhiano yalikuwa ni Siri yao?
Ni mjinga tu ndiye ataandamana
Mlale Unono!
Pia, Soma: Ujio wa Rais Samia Suluhu Hassan: Hadi sasa sijaona dalili yoyote ya utashi wa kuwepo kwa maridhiano ya kisiasa nchini
Mbowe aliombwa awe anatoa taarifa ya Wanachojadili kwenye Maridhiano lakini alikataa akidai ni Siri na Kwamba taarifa itatolewa kwa pamoja mwishoni
Sasa leo analia nini ikiwa Maridhiano yalikuwa ni Siri yao?
Ni mjinga tu ndiye ataandamana
Mlale Unono!